Nishawahi kuchangia watu 25 nnaowajua na ndoa 13 zishavunjika ndani ya muda mfupi tu hivi simuoe kwa siri kwa bajeti ndogo muache kusumbua watu.
Basi mkioana msiachane ili mtupe moyo think unamchangia mtu laki moja halafu baada ya mwaka unaskia kashaacha mke jamani jamani jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.