Recent content by themagnificient

  1. themagnificient

    Sauli Amon (S.H.AMON) abambwa kwa Utapeli wa nyumba Kariakoo

    Yule tosh naskia hapo kkkoo ni balaa
  2. themagnificient

    Kwani hamuwezi kuoa kimya kimya hadi msumbue watu michango?

    Nishawahi kuchangia watu 25 nnaowajua na ndoa 13 zishavunjika ndani ya muda mfupi tu hivi simuoe kwa siri kwa bajeti ndogo muache kusumbua watu. Basi mkioana msiachane ili mtupe moyo think unamchangia mtu laki moja halafu baada ya mwaka unaskia kashaacha mke jamani jamani jamani
  3. themagnificient

    Kwa hii Video, Abiria wa Kimara wana Midomo michafu sana Madereva naanza kuwatetea

    Lile lina pete 6 libibi lina mitusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. themagnificient

    Kwa hii Video, Abiria wa Kimara wana Midomo michafu sana Madereva naanza kuwatetea

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. themagnificient

    Kwa hii Video, Abiria wa Kimara wana Midomo michafu sana Madereva naanza kuwatetea

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wa kimara[emoji23][emoji23][emoji23] wana maneno sana
  6. themagnificient

    Kwa hii Video, Abiria wa Kimara wana Midomo michafu sana Madereva naanza kuwatetea

    Kukopwa unaelewa maana yake,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom