Recent content by Songaleli

  1. Songaleli

    Je, tutarajie yaliyomkuta Kafulila mkoani Simiyu kumkuta Makonda?

    Kafulila ni mtoto wa kambo😂😂
  2. Songaleli

    Kuelekea 2025 Ni wakati muafaka na sahihi kwa David Kafulila kurejea Bungeni mwaka 2025

    Nakubaliana na wewe kabisa, Bunge na Upinzani Vs CCM bila watu kama akina Kafulila hali itakuwa sio nzuri
  3. Songaleli

    Kuelekea 2025 Ni wakati muafaka na sahihi kwa David Kafulila kurejea Bungeni mwaka 2025

    Kafulila lazima arudi Bungeni , 2025 kutakuwa na Wabunge wa Upinzani hivyo tunahitaji watu wa kujenga hoja zaidi.
  4. Songaleli

    David Kafulila anakumbukwa na wakulima wa Simiyu kwa kupaisha bei ya Pamba kufikia Tsh. 2200 kwa kilo katika historia ya Taifa letu alipokuwa RC

    Kila kitu Mtaka Mtaka Mtaka, 🤣🤣 Sasa kama MNEC alikuwa anamiliki Soko la madini na Sheria ziko wazi Soko la madini lazima iwe mali ya Serikali Mtaka alikuwa wapi? Kama wachina wa CHICCO walikuwa wamebumba barabara zaidi ya KM20 MWIGUMBI -MASWA ndio Kafulila kuwaambia warudie kwa gharama zao na...
  5. Songaleli

    David Kafulila anakumbukwa na wakulima wa Simiyu kwa kupaisha bei ya Pamba kufikia Tsh. 2200 kwa kilo katika historia ya Taifa letu alipokuwa RC

    Kilichomwondoa Kafulila sio Pamba, Kilichomwondoa ni Kumnyanga'nya MNEC na Mbunge Soko na madini Simiyu na kulirudisha Serikalini haya mengine ni porojo tu.
  6. Songaleli

    David Kafulila ni hazina kwa Taifa letu, anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana ya nchi

    Mpigaji balaa yule jamaa ila ukimwona anajifanya so smart na kuita watu mafala
  7. Songaleli

    David Kafulila: Tayari wawekezaji wa Umeme wa Upepo na Jua wameonesha nia ya kuwekeza kwa Ubia na Serikali

    Kafulila, Kafulila, Kafulila pokea maua yako, Tunahitaji kusonga mbele kama Taifa
  8. Songaleli

    Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

    Umeongea ya kweli ngoja tusubiri Majibu.
Back
Top Bottom