Recent content by Revolution

  1. Revolution

    Paul Kagame: Ukiona wenye mali wanageuka kuwa ombaomba ujue akili zao haziko sawa

    Mbona Rwanda ina madeni makubwa tu imayodaiwa huko nje!!? Someni kila kitu kiko wazi kwenye mitandao. Andika tu Rwanda Foreign Debt. Kisha mrudi hapa na ngonjera zenu.
  2. Revolution

    Rais mwenye mawazo ya kuombaomba!

    Duh! Hii kiboko. Pro Max!!🤣🤣
  3. Revolution

    Je, hii ni Mikataba ya Kimangungo katika jina la Uwekezaji?

    Ruto unayeamini anajielewa kuna thread huku inamhusu kwamba yeye na Rais wa Nigeria ndio wanaoongoza kusafiri nje. Hivi kwanini tusiwe na thread kwenye sticky pale juu ambayo tutakuwa tunahesabu hizi safari za nje ili miaka 10 ikimalizika tujue idadi ya safari za nje ili tupime na matokeo yake!!?
  4. Revolution

    Prof. Kitila Mkumbo akanusha masharti ya Mkopo wa Korea Kusini. Asema utalipwa kwa miaka 40

    Mtakapohisi?? Sawa basi endeleeni kuhisi!!
  5. Revolution

    Ni pombe gani haina alcohol kubwa nataka nianze kuutwika maisha yamenishinda

    Njoo Dodoma unitembelee, tubadilishane mawazo na nikufanyie counseling utapata nafuu. Utakaa kwangu siku tatu.
  6. Revolution

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

    Hata mimi ningekuwa ndio Rais na nchi hii ilivyojaa matatizo na malalamiko ningekuwa ninakaa kidogo kisha huyoooo ninachomoka kwa speed ya mwewe. Hata Jk alitumia strategy hii hii. Ukikaa sana hapa nchini na kelele hizi unaweza kuchanganyikiwa. Acha mama akapoteze mawazo akirudi hapa anakaa...
  7. Revolution

    Kwa kasi ya Mchina na Electric Vehicles (EV), sio muda tutapishana nazo Dar

    Mimi ninawawazia ndugu zangu Waarabu na Mafuta yao. Mbona Ntihani huu!!?
  8. Revolution

    Watanzania tupo tayari kupokea Electrical Vehicles (EVs)?

    Duh! 28m parefu sana....ngoja bei zipoe poe kwanza
  9. Revolution

    Watanzania tupo tayari kupokea Electrical Vehicles (EVs)?

    Kwanza nimpongeze mleta mada very analytical and well narrated. Safi sana. JF ingekuwa na vijana kama hawa hata robo tu Nchi hii ingefika mbali. Contrary mada nyingi za JF ni upumbafu upumbafu tu! Safi sana kaka, ila ninahisi wewe ni Mhaya kwa hizo ri badala ya li. Naomba ukipata wasaa uongelee...
  10. Revolution

    Rais Samia CCM watoe amri mfumo wa PEPMIS usimame kwanza mpaka pale mtandao wao utakapokuwa na nguvu

    Upo sahihi sana Tatizo jingine ni Watumishi wa pale UTUMISHI kujiona miungu watu na kutisha tisha watumishi. Kwani hawawezi kufanya kazi bila vitisho?? Huu Mfumo wa PEPMIS ni kama walikurupushwa ila kiukweli haujakamilika, Pia haupo realistic ni rahisi watumishi kudanganya kuhusu majukumu yao...
  11. Revolution

    Sarafu Afrika zenye nguvu dhidi ya Dollar

    Unasema kuna nchi ni balaa lakini huoni sisi hapo kwenye list tupo wa mwisho mwisho??
  12. Revolution

    Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

    Watanzania wamepata mada ya kupotezea muda. Watz hawana muda wa kuzalisha ni wavivu na majobless. Wamepata jambo la kutumia bando. Hamna udhalilishaji pale. Kile chama kilichotoa tamko nacho hakina agenda na vitu vya kufanya.
  13. Revolution

    Jamani, ashakum si matusi ila sisi Wabongo tuna mapungufu mengi ila kibaya zaidi tuko very very slow almost kwenye kila kitu

    Hii mada ipo rellevant kabisa kabisa ukitaka kuamini nenda kigamboni wakati watu wanapanda na kushuka kwenye pantoni...ni ugoi goi wa hali ya juu na wengi sio hata watu wazima ni wanafunzi wa IFM na vyuo vingine hapo mjini na waajiriwa mbali mbali ambao bado wana nguvu. Njoo Dodoma uone...
Back
Top Bottom