Recent content by Rahidin73

  1. Rahidin73

    Mwanamke anaweza kataa kudate na mwanaume anayeishi kwa mama yake....

    Mwanamke anaweza kataa kudate na Mwanaume anayeishi kwa Mama yake, Lakini yuko tayari kudate na Mwanaume anayeishi na mke wake.
  2. Rahidin73

    Mwanamke haulizwi kama yupo single wewe fanya hivi

    Mwanamke akisema, "Nina Stress," mwambie tu, "Pole, kila kitu kitakua sawa." Lakini kama una PESA, unaweza kuuliza, "Shida nini dear?"
  3. Rahidin73

    Mwanamke haulizwi kama yupo single wewe fanya hivi

    Hapajawekewa Instructions kuwa kazi yake patterns mkojo tu🤣
  4. Rahidin73

    Mwanamke haulizwi kama yupo single wewe fanya hivi

    Guys, Acha kumuliza Manzi kama yupo Single. Wewe mtoe out, mnunulie chakula, mfanye afurahi, mpe pesa, Then mwachie aamue kama yupo single au la. ✍
  5. Rahidin73

    Dada yangu hata kama anaku post

    My sister Haijalishi ni mara ngapi mwanaume wako anakuposti, Always lazima kuna yule mwanamke wake pembeni ambaye anaelewa kila kitu na ameridhika.
  6. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya 6. MTUNZI: Madodi ✍🏼 .....ILIPOISHIA.....Basi bwana hatimae akaondoka nilibaki nalia kama nimefiwa alivyosikia nalia akarud Tena ndani😛 akaniambia haya shika biblia ( aliniletea hiyo biblia kama zawadi ) akanipa mistari ya kusoma basi akanambia niikariri anakuja...
  7. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya 5 MTUNZI: Madodi ✍🏼 ........ILIPOISHIA........"Naumia my toa kwanza baby jaman mimi nina muda mrefu itoe kwanza,😌" Jamaa ndo kwanza anakazana hakuchelewa Wala hakuwai kama kuku bao la kwanza si mnalijua ..🙈 akawa amemaliza aisee alichukua taulo akanifuta nayeye...
  8. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya Nne MTUNZI: Madodi ✍🏼 Basi madereva wakaja pale nikawaelezea walijaribu kuitafuta bajaji lakini walisema kashaenda hadi akirud na hatuna uhakika nae maana hujakariri hata namba Wala picha ya bajaji☹ nisemeje Sasa 😔 Niliishia kuwapa namba ili kama wangemuona basi...
  9. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 10 MTUNZI: Madodi ✍🏼 INSTAGRAM: @middotz_ . Nilizidi kumshusha moyo kila mara nilipokumbuka jinsi watu walivyonisema mtaani, lakini moyo wangu ulikuwa na kinga moja kubwa—mapenzi kwa Zuhura. Kila siku mapenzi yangu kwake yalizidi...
  10. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 9 MTUNZI: Madodi ✍🏼 INSTAGRAM: @middotz_ Wakati mmoja, nilikutana na kijana mmoja mtaani akiniangalia kwa dhihaka. "Kaka, hivi kweli huyo mtoto ni wako? Hata Haaland mwenyewe angekuja leo, singejua tofauti!" alisema huku akiangua...
  11. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 8 MTUNZI: Madodi ✍🏼 INSTAGRAM: @middotz_ Baada ya vituko vya kila aina, nilijikuta nikifikiria suluhisho la pekee ambalo lingeweza kuziba midomo ya watu waliokuwa wakiniteta vibaya mtaani. Nilihisi kuwa, kama ningepata mtoto mwingine...
  12. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya Tatu MTUNZI: Madodi ✍🏼 WHATSAPP: 0655 969 973 👇🏽 ILIPOISHIA....basi sikuta kumcheat mpaka nilipomaliza form 6 nikarudi Kwa dada tulikuwa tunapaita jeshini siyo Kwa kununa kule usipochambwa asubuhi, jioni ni Yako dada🤣 yaan hata akikuona umekaa tu Hauna Kaz zote...
  13. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 7 MTUNZI: Madodi ✍🏼 Whatsapp: 👇🏽 Siku moja, nilizungumza na mmoja wa marafiki zangu wa karibu, ambaye alikuwa akijua kinachoendelea. Tulikuwa tumekaa kwenye baa ndogo kule Mwenge, nikinywa chai ya moto. "Kaka," alinianza kwa sauti ya...
  14. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 6 MTUNZI: Madodi ✍🏼 Whatsapp: 0655 969 973 Nilipoanza kufanya kazi kiwanda cha dawa kule Mwenge, maisha yangu yalikuwa na changamoto nyingi. Shift za usiku zilikuwa zikinichosha sana, lakini sikuwahi kufikiria kwamba changamoto kubwa...
  15. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya pili MTUNZI: Madodi ✍🏼 WHATSAPP: 0655 969 9 Kabla ya kuendelea na kuhusu Rick, Naomba unafahamu kidogo. Mimi naitwa Hesha, wakati nakutana na Rick FB nilikuwa naishi Kwa dada Yangu huko kigoma. Ila kabla ya kwenda Kigoma ni kuwa tangu nilipohitimu masomo yangu ya...
Back
Top Bottom