Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana...
Hakika nadhani ni Sahihi kwa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA kuliweka MAKUMBUSHO Gari la Makamu Mwenyekito wake Mh.Tundu Lissu ktk MAKUMBUSHO ya CHAMA hicho .Kufanya hiyo kukiambatana na HISTORIA NZIMA ya namna alivyopigwa Risasi na WANAOJULIKANA yenye na Dereva wake itasaidia Vizazi vijavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.