Nime pita website yao nimeona tangazo lao ....Kuna group Fulani mdau alituma Hilo tangazo jamaaa huwa hatumi matango pori mkuuu ila police wametisha asee hawapoi ju watu wamemaliza wakaja wengine Leo wengine tena
Shukrani mkuu Kwa mrejesho mchakato mrefu sana aseee nikajua baada kumaliza wote waliondoka ....Hawa madogo wame report 1/Dec mwaka jana wao ku funga koz lini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.