Asante sana kwa maoni umeeleza vizuri. Ni kweli kuna wanawake wanakuwaga ni chanzo cha watoto wao kukosaa malezi bora kwa kushindwa kutulia au kuwatumia watoto wao kama kitega uchumi (sababu ya kujipatia hela na mali kutoka kwa wanaume waliozaa nao). Na malengo yao yakienda tofauti wanawalisha...
Nzuri lakini inahitajika muhusika pekee na watoa huduma ndi wanaona taarifa za MTU mfano taarifa za hospital wakitaka kuangalia taarifa ya mteja kwa kutumia kitambulisho cha nida wanapoweka kitambulisho wanaona namba zao ambazo zitawapeleka kwenye taarifa za kitabibu za mteja na ivoivo waajiri
Wazo zuri lakini kwa sasa wanatumia vyeti mfano vyeti kama vya kuzaliwa elimu na n.k pia nida. Kuna kitu kinaitwa nafasi nyingine, nafasi ya kurekebisha pale ulipoteleza, na kujenga pale palipobomoka. Kuna watu wanapast ambayo wanahitaji kusahau sana kuweka rekodi kila hatua inaweza kuwaathiri...
Yaani ni huzuni sana. Nilishawahi kuongea na mtu akaniambia Mimi na jina la ukoo kama lako lakini baba yangu alinitelekeza mama yangu akiwa mjamzito kwa iyo ata ndugu wa upande wa baba siwajui. Inaumiza mtu anakua angali historia ya mzazi wake ni alimtelekeza. Alafu wamefunzwa kumuachia Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.