Serikalini wanachukua intern kupitia Taesa pekee now adays! Na Taesa walibadili utaratibu wa kuita wata watu, ni lazima ufanye booking online kwenye mfumo then uitwe kwenye training. Lakini pia Taesa huwa wanaita kama kuna uhitaji, kama hakuna na wao pia wanakaa kimya hata kama training...
Kilichopendekezwa ni mabadiliko ya jumla ya kimfumo bila kujali kama yatatokea leo ama la! Kilichopendekezwa sio kuziba kwa viraka vya baadhi ya nafasi za juu huku ukiacha nafasi nyingine zikiwa na tatizo lilelile. Waziri mmoja mwenye taaluma ya wizara husika atafaa nn kama watendaji wake...
Ukirudia kuisoma vizuri article ina majibu ya kwanini nguvu ya wengi wape inaongezewa maana! Wananchi wanachagua viongozi lakini zao la viongozi wanaochaguliwa ni wale waliopitia mafunzo kamili ya uongozi! Mtu asiibuke tu na kuwa kiongozi kwa jinsi anavyojiskia yeye! Irudie tena article, utaona...
Mkuu huwa unategemea wanadamu?! Anyways, tafsiri ya Mungu kuhusu maisha bado ni fumbo kwa wanadamu wengi! Mungu anachokimaanisha kuhusu kuishi ni tofauti na wanadamu wanachokimaanisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.