Recent content by Leonardo Harold

  1. L

    Is Makonda imagining an unthinkable future for Tanzania?

    au nasema uwongo ndugu zangu? japo wenye akili timamu tunaona kama haliwezekani ila mtaji wa ccm miaka yote ni elimu duni ya wa tz ambayo inawafanya wawe wepesi kurubuniwa. kama kujaza wasanii ndo sababu pekee ya kwenda kuhudhuria mkutano basi kupata kiongozi anayejua kuigiza mbele za watu, ni...
  2. L

    Tambua ugonjwa wa kusahau (Alzheimer's Disease)

    elimu bora kabisa, ubarikiwe.
  3. L

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

    pelekeni ushahidi takukuru, uchaguzi ulikua huru na wa haki, kama wamehongwa wajumbe na kutoa kura basi ni jambo binafsi la wajumbe sio la chama, ila kama wasimamia uchaguzi ndio wamepindua matokeo hapo kuna stahili malalamiko. nyie mnaolalamiki rushwa mtueleze ni kwa namna gani rushwa imemnyima...
  4. L

    Nafikiri hizi nyimbo 20 za rap ya Bongo ndizo bora kwa muda wote

    ngoma ni nying sana kali huu tuupokee kama mtazamo wako.... hata ranking yako sio sidhan kama mtiririko ndo huo... kwangu mimi top 20 zisikosekane hizi ... agost 23 ya fid q .... usiulize ya rado .....mtazamo ya afande sele .... cnn ya ngwair ......mfalme ya mwana fa .....zali la mentali ya...
  5. L

    Ukweli unaoendelea kufichwa

    YESU NDIE NJIA, KWELI NA UZIMA,AAMINIYE ATAOKOLEWA ASIYEAMINI ATAHUKUMIWA. issue sio dini issue ni kutambua uwepo wa Mungu na kumuishi, ukifa utakuwa judged kwa terms za Mungu mwenyewe especially matendo yako kwa Mungu na kwa wengine, ila mwsho wa siku neema ya Mungu ndo itaamua final...
  6. L

    Dodoma: Hatimaye Polisi wamkabidhi Tundu Lissu gari lake alilomiminiwa nalo risasi

    Upelelezi umefikia wapi, mbona vielelezo vinaondoka mikononi mwa dola
  7. L

    Miaka 12 ya Bongo Movie bila uwepo wa Steven Kanumba

    mwamba alikua mbele ya muda, angepewa nafas ya kuishi mpaka leo basi kina de caprio wangekuja bongo na kiswahili wangeongea, mixer kuiona tz kwenye nomination za oscar awards huko, zile ambitions za kutaka zaid, kutoridhika na alipo na kutaka kufika duniani, ndo kulimtofautisha na wenzake...
  8. L

    Mambo 7 ya kuzingatia katika malezi ya mtoto

    na biblia ilisema "mlee mtoto katika njia impasayo, naye hataiacha hata atapokuwa mzee" mtu bora hazaliwi tu, anatengenezwa, na mwovu ni hivyohivyo.
  9. L

    Nani bado anabisha kuhusu S2KIZZY kuwa ndio producer namba moja Tanzania?

    in the last 10 yrs s2kyz, abba, na laizer wametengeneza midundo mikali, kama issue ni namba s2kyz amebahatika kufanya kaz na top artist so moja kwa moja ngoma lazma ziende ila kwenye mizan naona yupo big 3. ila kuhusu GOAT s2kyz hagusi top 10.. ukizingatia kizaz kipya production sio ngumu kama...
  10. L

    Catherine Kahabi ni nani na ametoka wapi?

    mbona kama mzee mdee alikua anapiga hii pisi? labda kwa sasa ameokoka na hvyo ana pingana na laana hz... ni kama zaman SAUL baada ya kukutana na Yesu akabadilishwa na kuwa MTUME PAUL, kisha yae aliyokua anayafanya akageuka na kuanza kupambana nayo na kumtetea kristo, nami naamini hata wana...
  11. L

    Badala ya kupambana gesi ishuke, yeye anataka gesi iwe kama Luku

    maza enu ana ubonda mwingi kama kibu denga mpaka unamwagika daadeki... hv lile kundi la roma na stamina linaitwaje tena
  12. L

    Nani alitangulia kati ya Yeriko Nyerere na Nashon C Elia kwenye suala la ujasusi katika dola na uchumi?

    KAMA KITABU CHA YERICKO KIMECHUKUA TUZO, NI WAZI KILIPITIA CHUJIO LA UHAKIKA, HAKIWEZI KUWA JANJA JANJA KAMA MNAVYOKIELEZEA
  13. L

    Ripoti: Vita ya Israel na Hamas imeua Wapalestina 34,789 hadi sasa

    na hamas wamekufa wangapi? msitake kutuamnisha kuwa hamas hawafi, wanakufa tu raia
Back
Top Bottom