Recent content by Jorowe

  1. J

    DOKEZO Mitaa ya Daraja Mbili - Arusha kuna uhalifu kiasi kwamba hata Sungusungu nao wanaogopa kulinda

    Mwaka 2020 baada ya kufika Arusha nikaona nimcheki jamaa yangu aliyekuwa na geto hayo maeneo ya daraja mbili kutokana bei kubwa ya lodge! Jamaa baada ya kunipokea akatoka kidogo kwamba akauchukue vitu aje apike mara naona muda unaenda harudi nikampigia simu haipokelewi, ikanibidi niwe mpole...
  2. J

    Nahitaji Toyota Premio

    Hapo kwenye rangi.... Rangi nzuri kwa mazingira yote ya vumbi na matope ni white na sliver! Nyeupe ikichafuka haipotezi mg'ao ukitaka kuing'arisha ni rahisi kuliko rangi zingine pia! Rangi nyeusi kwenye vumbi ni kisanga inachafuka haraka mno na kuing'arisha pia ni shida!
  3. J

    Ipi gari bora kati ya Carina Ti au Premio old model?

    Mapenzi upofu mzee😀😀 Ndiyo maana definition ya uzuri huwa ni complicated sana
  4. J

    Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

    Hapa ndiyo Ngozi nyeupe walituweza! Kwamba ukiitwa Mussa au Muhamad ndiyo mambo yako yatanyooka?! Bora hata huyo babu yako aliweza kupata hata hao Ng'ombe 500 wewe baada ya kubadili jina sasa hivi una mali kiasi gani?! Hakuna ujinga kama kuthamini majina ya Wazungu na Warabu!
  5. J

    Nani apewe maua yake kwa review kali za magari: Abel Shoo wa east cars, Dr. Mechanics, Mshana Jr au Samatimes

    Hivi mshana naye anafanya review za magari?! Samatime yuko review zake ni za kibiashara zaidi zinalenga zaidi kuuza magari anayoagiza au kuuza aliyonayo JITU LA MIRABA MINNE anayajua magari lakini huwa hafanyi review za magari Dr mechanics anakupa mbivu na mbichi yaani anachimba kote upande...
  6. J

    Wananchi wa Majimbo haya mmeshaandaa wagombea?

    Geita nakazia!.
  7. J

    Orodha ya Magari yasiyo na uhakika safarini

    Landrover ni miongoni mwa kampuni ambazo ni worst in term of reliability!
  8. J

    Utafiti mpya wa reliability ya magari, BMW imeshika namba 3 USA

    Hii report yako haihusiani na reliability Usiwalishe matangopori watu! HIyo ni report ya brand ambazo ziko nq reputation (Sifa/umaarufu) zaidi. Consumer report hii hapa orodha yao ya brand ambazo ziko more reliable zaidi duniani...
  9. J

    KERO Hizi gari za Kakola kwenda Kahama na Kakola kwenda Geita hazifai

    Barabara ina mashimo na mbavu za mbwa mwanzo mwisho hakuna tajiri atapeleka gari luxury Tatizo sio trafiki wala tatizo sio wenye magari tatizo ni barabara Hiyo barabara ya kahama Geita ingekuwa na Lami gari za abiria zingekuwa za kutosha barabarani na hakuna mtu angesimama! Geita...
  10. J

    Barabara ya Geita kwenda Bukoli Kupitia Buyagu na Kamena mbona GGM wameitelekeza?

    Mzee hii nchi ukifikiri sana unaweza kuishia kuwa Gaidi ni vile tu hatukupewe roho za kiarabu na hakika hii nchi ingekuwa imeshakatika Vipande vipande! Ukipita barabara ya Geita Kahama kama wewe ni mkazi wa ukanda huo na uwe unajua mapato yanayochangia kwenye serikali kuu lazima uumie roho...
  11. J

    Geita: Mkoa "tajiiri" usiokuwa tajiri

    Japo uzi una muda mrefu lakini hili ndiyo jawabu sahihi!. Hii nchi kuna mikoa inanyonya rasilimali za maeneo mengine na kujisifu wana maendeleo huku mikoa inayotoa ikiwa kwenye hali mbaya Mkoa wa Geita ukitoa hiyo highway ya Mwanza Bukoba hakuna barabara yoyote ya lami inayozidi 5km Ukitaka...
  12. J

    Kwa online business Mkoa WA mbeya una watu Smart sana sio WA shamba kama mwanza

    Hivi tafsiri ya ushamba hasa ni nini boss?! Yaani hata mtu kuacha kukuamini ni ushamba au unaimanisha kivingine?! Online business kwa bongo bado sana ni bora tu uitwe mshamba kuliko kuibiwa kwa kumwanini mtazania Online business tuwachie wazungu tu sisi ngozi nyeusi tuna laana sana Kuna...
  13. J

    Petition: Mradi wa Maji Kutoka Ziwa Victoria Uitwe Edward Lowassa Channel

    Kwamba miradi yote ya maji kwa ukanda wa ziwa iitwe Lowassa au unaimanisha mradi upi maana kuna miradi mingi inayotoa maji ziwa Victoria kwenda sehemu mbalimbali Halafu mbona mtu akifa huwa mnataka apewe sifa nyingi sana! Ndiyo kwamba ya Richmond na Escrow yameshasahaulika?! Ama kweli hujafa...
Back
Top Bottom