Mbona akina Mickson hawakufanywa hivi kabla ya kwenda Northern Africa, inamaana Wananchi wana ujasusi bora zaidi kuliko Makolokolo?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Fedheha ya Me kutatuliwa rinda ni sawa na kuwa Ke mwenzio, ni heri achepuke ataweza kujitambua na kurudi kwenye mstari ila si kuvuliwa ukamanda "uanaume" NO.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
BICHWA KOMWE mtambo bab kubwa kwenye majibu yake anavyoshusha maneno dhidi ya wadau humu JF lazima ucheke hadi uzimie la sivyo uumwe tumbo kabisa [emoji119][emoji16]
Hamis77 atawalaani we Flano na AllyPipi, au hutaki wachaambuzi waseme Arse8 vile inavyo-press, drible, keep ball possession na strikers wao hatari Havertz & Jesus? Shauri zenu ohooo...[emoji1732][emoji4]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nimefurahi sana Kipara kufungwa na Mwacity wake maana walitudhulumu penati halali kabisa ya FA semi final iliyotokana na faulo ya Palmer.
Mwacity City Fans Rudini kwenye timu zenu za awali Man Utd SC, Liverpool SC, Arsenal SC, na Chelsea SC...[emoji847]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nimefurahi sana Kipara kufungwa na Mwacity wake maana walitudhulumu penati halali kabisa ya FA semi final iliyotokana na faulo ya Pamer.
Mwacity City Fans Rudini kwenye timu zenu za awali Man Utd SC, Liverpool SC, Arsenal SC, na Chelsea SC...[emoji847]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nimefurahi sana Kipara kufungwa na Mwacity wake maana mlitudhulumu Chelsea SC penati halali kabisa ya FA semi final iliyotokana na faulo ya Pamer.
FFP 115 Rudini kwenye timu zenu za awali "Man Utd SC, Liverpool SC, Arsenal SC na Chelsea SC" [emoji1787][emoji28]
Ubinadamu ni kazi/The humanity...
Nimefurahi sana Kipara kufungwa na Mwacity wake maana walitudhulumu penati halali kabisa ya FA semi final iliyotokana na faulo ya Pamer.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Acha kutudhalilisha Ma-Drs, yani tukio moja ndilo linajumuisha Me sote wa mikoani?
That's intuition and stereotyping judgement but not rational judgement, wake up Man.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Biblia haijaandika vitu vingi sana.
YOHANA 21:25
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.