Recent content by HUSSEN KAMBI

  1. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Huwezi kunielewa kwasababu Umejichagulia kukaa upande wakitolewa Na badilika badilika kwani anaesababisha ni badilike Si wewe au inajitoa ufahamu Mimi nimekuja na hoja bunge limekosa heshima halina mvuto Watu hawajui kama kuna vikao vya bunge vinaendelea Wewe umeacha kujibu hoja Umekuja na...
  2. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Khasara ni mtu ambaye uwezo wake Wakufikiri mdogo na yule anaejitoa ufahamu makusudi Anajua mambo hayapo sawa Lakini yy anasema yapo sawa Kwakuwa anachukua mshahara Wa ukuu wa wilaya ana sahau kama kuna watu mlo mmoja kwa siku anaukosa Ajira zote wanachukua kina mwegulu January ridhiwani...
  3. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Kama mwalimu mwenyewe ndio wewe Basi ni wape pole wanafunzi wako Kwa khasara yakua na mwalimu wahaina yako
  4. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Kazi zote mmechukua nyinyi mnapeana kiukoo Kama kuna kazi mtaani Acha hio kazi yako udc na wewe Uje ufanye kazi hata Makonda anajua Kama mtaani kugumu Wewe unasema fanya kazi yako kwa bidii umeiona hio kazi n Ndio maana nakuambia acha kazi yako ya ukuu wa wilaya na wewe uje afanye kazi huku...
  5. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Usitukane watu kama unaona amekukera dawa pekee ni kujiuzulu huo ubunge wa sketi uliopewa
  6. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Tunajua kwa mujibu wa sheria Mabunge yote duniani.kazi yake kuishauri serikali na kuisimamia Yani kutunga sheria Lakini kwa bunge hili la nzi wa kijani watupu halifanyi hivyo Kazi yake kubwa kusifia kuimba mapambio na ndio maana tunasema halina mvuto Mvuto tunao usemea sisi bunge limeacha...
  7. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Maslahi mapana ya nchi ni kuweka Roboti bungeni Kupiga sarakasi bungeni Huko ndio kutetea maslahi ya nchi Pale hakuna anaetetea maslahi ya nchi Pale wanatetea matumbo yao Na familia zao na ccm yao na serikali yao Kwasababu hawapo pale kwa ajili ya wananchi Na wewe hio hicho cheo ulichopewa...
  8. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Sio mihemko tu ndiyo hafai pekee yake Hata kusifia ujinga nako hakufai Yai unasema dafu huko ni kujitoa ufahamu Na unaidhalilisha familia yako
  9. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Mambo ya chadema wapelekee Wenyewe chadema sisi atu wajadili chadema kwani Chadem hawaongozi hii nchi Chadema hawana t r a inayo wapachika kodi isio lipika kwa watanzania Chadema hawana jeshi la polisi Linalobambikia watu kesy Chadema hawana waziri yoyote Anaechukua mshahara kwa kodi Za...
  10. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Tena kiongozi la mataahira halafu mtu kama huyu kuna watu wanamuita poleni wenye mzazi wenu Mmekula khasara
  11. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Ishu sio matusi wewe umeona nani Anatukana Kwahio kwa mtazamo wenu mtu akiongea tofauti na ccm basi anatukana Hila akiongea inavyotaka ccm huyo mzalendo Nani Kawa loga nyinyi Kwahio tundu lissu kusema Waliotaka kuniua wamekufa wao mimi nimebaki hayo matusi Kwa akili zenu za moshi wa mwenge...
  12. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Nimekuelewa namuomba Aniepushe na moshi wa mwenge Kwani nataka akili zangu ziwe salama
  13. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Unajua kuna watu wengine Wanafikiri mpaka sasa bado wapo wajinga Kumbe hizi ni zama zingine Yeye anafikiri wote tumeasirika Na moshi wa mwenge kama alivyo asirika yeye
  14. H

    Ni aibu kwa bunge la Tanzania kususiwa na wananchi

    Lazima upinge kwasababu wewe nimiongoni mwao . Aliokuambia wale ni wananchi Wananchi wanaolipa kodi wale hawalipi kodi na pale hawajawekwa Na wananchi wamewekwa na mfumo mbovu wa uchaguzi Wewe ndio unapotosha watu Kwakuwa wa ambia wale wananchi wenzetu wale sio wananchi wenzetu Na mule...
Back
Top Bottom