Recent content by Chillah

  1. Chillah

    Ni nchi gani naweza kwenda kusaka kibarua chochote?

    Mwambie gharama ni 2000USD Kama 5,000,000 tsh
  2. Chillah

    Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

    Mimi uniambii kitu na seafood! Has kamba Sato akae mbali kabisa! Kuna samaki ni minofu tu na nyama za kutosha
  3. Chillah

    Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

    Jongoo bahari tu bei yake imesimama kuliko sato! Wengi hawamli jongoo bahari lakini jiulize bei yake ni kubwa mno mno... katika soko la Dunia ndio balaa Sato sijui anashindana bei
  4. Chillah

    Tundu Lissu aeleza namna Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere lilivyoathiri Wananchi wa Rufiji

    Ukiweza pata taarifa ya mafuriko rufiji! Kabla ya bwawa!
  5. Chillah

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Katiba yenu wakatoliki mliyopeleka kwa msajili inasemaje?
  6. Chillah

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Usajili wa kanisa au nguzo za kanisa ktk katiba yao ni zipi?
  7. Chillah

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Hivi hizi dua na Ibada zinakaa mahala pake bila kukiri imani ya muhusika?? Kubatizwa? Kusilimishwa? Nk Au ni kuhudhuria bila kupokea? Utaratibu wa katoliki ni huu tunao uona Au una jambo ? Hizi taratibu huwa ni kwa wasio viongozi pekee? Au ni kama makanisa ya ufufuo na uzima, ngurumo ya upako...
  8. Chillah

    Kishimba: Asilimia 90 ya Wataalam wetu wanajua tu Kusoma na kuandika lakini hawana Maarifa yoyote!

    Kuna magereza zina uza matofari hayo mfano dodoma hapo
  9. Chillah

    Kishimba: Asilimia 90 ya Wataalam wetu wanajua tu Kusoma na kuandika lakini hawana Maarifa yoyote!

    Haya mambo ni makubwa kwa bwana Lucas Mwashambwa Hii ni mifano michache kwa anachokisema ndugu kishimba Hii ni Motto Cottage huko Monduli - Mto wa mbu, Arusha! Hii ni shule ya Rhino Academy huko Arusha wilaya ya karatu!
  10. Chillah

    Serikali: Ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa utagharimu jumla ya Tsh. Bilioni 31 hadi kukamilika

    HAya ndio mambo Lucas Mwashambwa unatakiwa kujibia serikali yako na chama chako kama unakubaliana nayo au kueleza mapungufu kama yapo! Unatakiwa kuendana na Ahadi za CCM: Binadamu wote ni sawa, Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko na Sitatoa wala kupokea rushwa johnthebaptist...
Back
Top Bottom