Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tamaa ya uongozi na idadi kubwa ya ahadi zisizotekelezeka Na Juma Kidogo Ni siku na wakati mwingine tena tunakutana ndugu zangu wapendwa katika ulingo huu wa siasa ili kujadili mambo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
REDET, SYNOVATE na, wagombea wametugeuza watanzania ‘ndondocha’ Wagombea wote watakaoshindwa kutimiza ahadi zao washitakiwe kwa makosa ya utapeli na udanganyifu Na Juma Kidogo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MAHOJIANO YA DK SLAA NA COUNTYR FM(88.5) Mwandishi wa Chanel ten Iringa Daud Mwangosi (kushoto) akimhoji mgombea urais wa Chadema Dk Slaa Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF nimepita kwenye web link HII HAPA nikakuta document moja dated 26 Oct posted at 12:03pm Inaonesha muandishi alikua ana hasira kali, its very interesting ila sijui kama ina ukweli...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tayari Wagombea wote akiwepo JK wameshawasili. Dr. Wibroad Slaa bado hajawasili: ================== UPDATES: MATOKEO YAANZA KUTANGAZWA KAMA IFUATAVYO: WALIOJIANDIKISHA: 20,137,303 Waliopiga...
0 Reactions
252 Replies
29K Views
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini. Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa? Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Leo asubuhi nimecheck TBC1, kinana anasema 'kupanuka kwa demokrasia na kuongezeka kwa uelewa wa mambo ya siasa katika jamii' ni baadhi ya sababu ya ccm kupoteza viti vingi ukilinganishwa na mwaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
katika jamii iliyo makini kuna sababu kwa Basil Mramba KUWAOMBA RADHI WATANZANI Kwa kauli yake ya kusema NDEGE ya raisi lazima Inunuliwe hata mkila NYASI Heri angesema tule majani maana hata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumeona ....Hawaaminiki,Lkini hatujui kama mheshimiwa ataamua kuwajaza tena ktk uwaziri..or kwakuwa amepiga kazi mwenyewe ..basi hatajali kulipa fadhila...??
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Rejea umati wote uliokuwa unakulaki,wengine kukuita Mussa kuokoa wanaisrael,wengine mkombozi, eti leo unapata kura kidogo namna hii, Sio kweli kabisa eti wajiandikishe watu laki moja halafu...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa...
14 Reactions
315 Replies
42K Views
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
KATIBU mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Willbroad Slaa amesema anazo nyaraka maalumu za CCM zinazowaagiza wakuu wa wilaya kuwaita wafanyabiashara ili wakichangie chama hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mabere Nyaucho Marando Through The Seasons:The Purpoted Senior Lawyer? From a scratch.UDSM,law industry,business,to politics.Who is he and should we discuss this?His past,future,aspirations...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Wanabodi, Tangu kuanza kwa kampeni, Ijumaa iliyopita, ni jana, leo na kesho, ndio nimepata nafasi kutulia nyumbani kufuatilia uchaguzi kwenye Electronic Media. Jana nimeshuhudia TBC ikionyesha...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Askofu Mokiwa: Kuleni hela za wagombea, kura msiwape Monday, 04 October 2010 07:56 0 Askofu Mkuu wa kanisa la Anglican Tanzania,Valentino...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Sababu kwa nini nasema inaweza kutokea vurugu mwaka huu vyombo vya Habari TBC1,ITV na Radio nyingine kupendelea upande mmoja vyombo vyote vya usalama kupendelea upande wa CCM TUME YA uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom