Kumradhi Ndugu yangu.
Nawaza kuanzisha biashara ila sijafikia muafaka mawazo yangu.
Sijazaliwa kwenye familia yenye umaridadi sana na biashara, ila hii haimanishi kwamba siwezi kufanya biashara...
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo...
Wakuu matokeo ya mtihani wa darasa la vii kwa mwaka 2024 yametoka.
Matokeo ya Darasa la saba yatangazwa leo Oktoba 29, 2024 yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Necta Dkt. Said...
Imekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa...
Wanadai Iran ndo ilishambulia makazi ya Netanyahu
Weledi wa mambo tunafahamu ukweli kuwa ile operesheni yao kuishambulia Iran ilifeli so wanataka kurudia upya!!
Wakati huo huo Iran imetangaza...
MMESIKIA HUKO?
.
Kwa mujibu wa Africa Soccer Zone,Klabu ya Yanga inashika nafasi ya pili nyuma ya Al Ahly kuwa ndio Klabu zinazofanya vizuri kwa sasa barani Afrika.
Orodha ni kama ifuatavyo
1-Al...
Sasa hapa nachanganyikiwa. Sisi huku tunasema Ukraine anasaidiwa na NATO. Putin anasema bado ila wakijaribu atawapasua. Sasa lipi ni lipi?
1. Je Ukraine anasaidiwa na NATO?
2. Je Onyo ambalo...
1. Millioni 20 kwa Askofu Massangwa
2. Milioni 150 kwa KKKT Hai
3. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Musoma.
4. Milioni 50 kwa Kanisa Katoliki Dodoma.
5. Millioni 100 kwa Kanisa Katoliki Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.