Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa ubunifu, uwezo wa kuunda vitu na uzalishaji Waafrika tunawazidi Waarabu kwa mbali sana, tatizo letu kubwa tunadharau sana ngozi nyeusi. Waarabu hawajawahi kuunda na mpaka sasa hawaundi vitu...
2 Reactions
29 Replies
247 Views
Siku ya pili leo usingizi sipati, wataalum nipeni mbinu za kujinasua kutoka msongo wa mawazo
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Kama hujaanza ujenzi hasa wa nyumba yako ya kwanza ya kuishi jitahidi sana upate elimu ya kutosha kwenye Ununuzi wa ardhi/kiwanja Mafundi wa kila idara Makisio ya vifaa, ufundi Muda sahihi wa...
29 Reactions
242 Replies
5K Views
Venice: Jiji Linaloelea kwenye Msitu Uliozama 🌊🌳 Tangu 421 BK, Venice imesimama juu ya mamilioni ya vigogo vya miti vilivyokwama kwenye sehemu ya chini ya udongo wa rasi. Sio chuma au saruji...
6 Reactions
304 Replies
2K Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
124 Reactions
237K Replies
19M Views
Nadhani watu wengi wamesikia kauli ya mkuu wa mkoa wa Tabora kuelekea kwenye mechi ya Tabora vs Yanga. Katoa kauli zinazoashiria rushwa na upangaji wa matokeo kwa wachezaji wa Tabora na...
5 Reactions
26 Replies
708 Views
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu...
26 Reactions
185 Replies
9K Views
Ni miti mikongwe duniani.. Toka kila pembe ya dunia.. Imeshuhudia na kuona mengi.. Inayajua mengi mabaya na mema, ya kizani na ya nuruni Imeshuhudia maanguko ya falme na himaya katili...
5 Reactions
49 Replies
757 Views
Kuna hisisa za Ghadhabu nchini Somalia baada ya mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane, ambaye alikuwa ametoweka kwa miezi sita, kupatikana akiishi na mwanamume aliyesema kuwa ni mumewe...
1 Reactions
23 Replies
343 Views

FORUM STATS

Threads
1,955,117
Posts
52,687,321
Back
Top Bottom