Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi tatizo langu kubwa ambalo linaloninyima raha ni kuwa korodani zangu naona si kubwa kiasi kile ambacho ngependa ziwe. Napenda kawe kafurushi flani hivi hata nikiwa sina nguo zinaning'inia...
6 Reactions
52 Replies
543 Views
Acha siasa kijana tafuta pesa, na ukiwa mbishi endelea kumtukana Rais kitachokupata wew na mama Yako Rais hatukwani Bali anaelekezwa kama Baba Yako alishindwa kubadilisha Maisha kwenu unamlaumu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Inanishangaza na kujiuliza hivi vituo vya television vya Eatv na Star tv ni vya vituo vya kikristo na kama sio mbona kila asubuhi saa kumi na mbili ni kupiga nyimbo za kwaya tu as if watazamaji...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder. Hapo tofauti ni nin
2 Reactions
166 Replies
37K Views
Nikipomleta Sheikh anifanyie dua kwenye biashara yangu, watu wote wakanichukia na kuanza.kusema Mimi ni mchawi. Kuanzia siku hiyo kila MTU anamwaga maji na mafuta kwenye frem yake kama...
9 Reactions
24 Replies
438 Views
Nchini Uingereza, mkataba wa hivi majuzi zaidi wa haki za TV za ndani, unaoanzia msimu wa 2025-26 na kuendelea kwa miaka minne, una thamani ya £6.7 bilioni. Hii inafikia takribani pauni bilioni...
3 Reactions
19 Replies
407 Views
Imepita miaka 35. Nimekumbuka kitu kimoja. Mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo...
59 Reactions
362 Replies
14K Views
Kulikuwa na madaktari wa migufo wa kila Kata. Sasa hivi hawaonekani. Kada hiyo iliondolewa kwenye Kata au basi ni kutega kazi, maana hawaonekani. Hakuma msaada wa daktari wa mifugo katika almost...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Niko nimepata this infection but sijapata muwasho Wala kuumia. Nimetumia cream but bado haijasaidia ni mwezi sasa. Please msaada
9 Reactions
69 Replies
733 Views
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO. Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni...
1 Reactions
26 Replies
226 Views

FORUM STATS

Threads
1,955,232
Posts
52,690,317
Back
Top Bottom