Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Licha ya kua ana sifa zote, vigezo na masharti tajika ya kitaaluma kulingana wajibu anaoelekea kuutwaa, uzoefu usio na shaka wa Prof.Janabi katika kazi za kada ya Afya kitaifa na kimataifa ni wa...
0 Reactions
4 Replies
17 Views
Nina ndugu wengi kidogo ila kwasababu fulani nimekuwa karibu na huyu ndugu mmoja kuliko ndugu yangu mwingine yeyote. Anajua maisha yangu almost 80%. Baada ya kufanya uchunguzi wa kina nimebaini...
9 Reactions
21 Replies
466 Views
Good morning people Tuma salamu za asubuhi, mjulie hali member, tulilala wengi wengine walilala mazima, inapendeza kujuliana hali.
1 Reactions
5 Replies
38 Views
Habari zenu wakuu, nisiwachoshe sana ngoja niende Moja kwa Moja kwenye maada. Mimi na mke wangu tangu tuoane hatujawahi kuwa na dada wa kazi nyumbani zaidi ya miaka 6 sasa. Mwishoni mwa mwaka...
20 Reactions
90 Replies
1K Views
Anaitwa Ame Pereira Silima alikuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani kipindi cha JK 2010-2015, na katika uchaguzi wa 2015-2020 akaomba kuwa mgombea Urais Zanzibar akakosa akapewa kuwa Balozi wa...
27 Reactions
127 Replies
6K Views
Habari za majukumu ndugu zangu hapa JF, Leo ninafuraha na amani tele kweny moyo wangu baada ya kuchukua maamuz ya kuachan na bint nipiyetaka kumuoa ila baada ya kujua madhaifu yake ni mengi...
0 Reactions
2 Replies
19 Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amaema kupitia ukurasa wake wa X kuwa Rais Samia amedanganya kwenye baraza la Eid kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi Amesema “Rais Samia hajasema ukweli kwenye...
13 Reactions
54 Replies
1K Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
244 Reactions
416K Replies
35M Views
Inaweza kuonekana kwa baadhi yetu kuwa ni imani za kufukirika na mambo ya kijinga yasiyo na maana kabisa, lakini haya mambo yapo na kuna watu yamewaathiri kwa kiwango kikubwa Si kila aombaye...
1 Reactions
16 Replies
185 Views
Niambie hapo unamtoa nani unamuingiza nani? Debora? Mzee wa Konyagi? Kitale? Mikwala? Ataiba? Mpanzi? Ifike hatua tuwe na heshima na Soka.
6 Reactions
119 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,955,129
Posts
52,687,676
Back
Top Bottom