jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,860
- 7,780
Basi kama unaona waziri kavunja katiba,nenda Mahakamani kamshitaki,.alafu Mahakama ndiyo itasema kama kweli waziri ana.makosa,na siyo wwe.kutuaminisha utakavyo wwe!!Akhaaa! Hata kama Mahakama haitendi haki, hakuna anayeruhusiwa kutoa hukumu kati ya pande mbili zinazozozana au kogombania haki flani, ni Mahakama pekee. Tunapaswa kurekebisha mfumo wetu wa haki kama tunaona hautendi haki na sio waziri kuingilia. Ndio maana CCM wanaingilia uchaguzi na kuamua nani ashinde na kwa kura ngapi na nyie watanzania mnaona poa tu. Watanzania wengi ni watu wasio na akili nzuri na wanyonge sana.