Wamasai waliohama Ngorongoro walalamika zoezi hilo kuzungukwa na udanganyifu, wasema watarudi

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,524
8,171
Kiongozi wa wamasai waliohamia Ngorongoro wamelalamikia Serikali kutotimiza ahadi zake huku wananchi hao wakiwa wamevunja maboma yao Ngorongoro na kuhamia Msomera.

Wananchi hao 136 wamesema zoezi hilo limezungukwa na udanganyifu, wamemtaka Rais Samia kufuatilia zoezi hilo kwa kuna watendaji wake wasio waaminifu.

Wananchi hao wamesema wasipotendewa haki zao wanakusudia kurudi Ngorongoro.

Akijibu malalamiko hayo, mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amesema Serikali imetimiza ahadi zake kwa wananchi wote waliohamia Msomera na mpaka sasa wamepokea kaya 1600 ambayo ina watu 6,700 ikiwemo fidia, motisha ya nyumba, motisha ya shilingi milioni 10 na shamba kwaajili ya kilimo.

Amesema kilichotokea kwa wanaodai wengi ni wategemezi kwani anayelipwa fidia ni mkuu wa kaya/boma. Kwa familia ambayo baba ana wake watatu analipwa mkuu wa kaya tu, wanaodai wengi ni wake wa mkuu wa kaya au mtoto wa mwenye boma ambayo haikuwa ahadi ya Serikali.
 
Kiongozi wa wamasai waliohamia Ngorongoro wamelalamikia Serikali kutotimiza ahadi zake huku wananchi hao wakiwa wamevunja maboma yao Ngorongoro na kuhamia Msomera.

Wananchi hao 136 wamesema zoezi hilo limezungukwa na udanganyifu, wamemtaka Rais Samia kufuatilia zoezi hilo kwa kuna watendaji wake wasio waaminifu.

Wananchi hao wamesema wasipotendewa haki zao wanakusudia kurudi Ngorongoro.

Akijibu malalamiko hayo, mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amesema Serikali imetimiza ahadi zake kwa wananchi wote waliohamia Msomera na mpaka sasa wamepokea kaya 1600 ambayo ina watu 6,700 ikiwemo fidia, motisha ya nyumba, motisha ya shilingi milioni 10 na shamba kwaajili ya kilimo.

Amesema kilichotokea kwa wanaodai wengi ni wategemezi kwani anayelipwa fidia ni mkuu wa kaya/boma. Kwa familia ambayo baba ana wake watatu analipwa mkuu wa kaya tu, wanaodai wengi ni wake wa mkuu wa kaya au mtoto wa mwenye boma ambayo haikuwa ahadi ya Serikali.


Wamasai bila fimbo kuchapwa hawawezi kuelewa, kwa ujinga wao wamasai wanataka uwalipe wote, yaani Baba, Mama ( wake zake wote) mtoto, ( watoto wote) sasa hapo sio sawa hata kidogo, mkuu wa Kaya akiwa ni Baba atalipwa baba na kama ni Mama atalipwa mama mil 10, na nyumba juu, shamba kubwa, maji yako mengi, umeme wa uhakika, shule, vituo vya afya, hivi hao wamasai wana akili kweli? Upewe kila kitu wao akina nani kwani? Nchii hii ina makabila mengi tu na waliwahi kuhamishwa na kutii serikali..

Wamasai hao wanatiwa ujinga na akina Mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka, Mbunge wa Ngorongoro Ole Shangai, hao wabunge hawafai kurudi bungeni tena, Serikali imejitahidi sana kwa kila hali na kuweka mazingira mazuri mno huko Msomera, tena malisho ya mifugo ni mingi mno, ila sbb hao wamasai wanatumika na wabunge hao na wabunge hao wanawasiliana na wenzao wa Kenya na wamasai wa Kenya wanaleta mifugo yao Ngorongoro na kuua kabisa Ngorongoro, mifuko zaidi ya 60% pale Ngorongoro ni ya wamasai toka Kenya matajiri hasa, hao ndio wanatumia hela zao kuhonga wabunge wamasai na kuwashawishi wamasai hakuna kuhama Ngorongoro, huo ni ujinga, Serikali ikiachia wamasai Ngorongoro kwa trend iliyokuwa inaenda ingekufa hata miaka 10 hatuna tena.

Wamasai wakiendelea kuleta ubishi na ujinga dawa yao ni fimbo tu ndio wataelewa, na hao wanao wapa ushawishi wa kipuuzi ili kuua Ngorongoro wakome, na wakijaribu tu kurudi ni fimbo mpaka wapate akili, mijitu gani hii, dawa ni fimbo tu sasa, hawa wamasai Serikali imeshaongea nao mara mia kidogo hawasikii tena hata kuelewa hawataki kuwa Ngorongoro itakufa na utalii utapotea sana, Serikali sasa hakuna kulaza damu, wakijaribu kurudi tu, fimbo wataelewa, watu gani hawa
 
Amesema kilichotokea kwa wanaodai wengi ni wategemezi kwani anayelipwa fidia ni mkuu wa kaya/boma. Kwa familia ambayo baba ana wake watatu analipwa mkuu wa kaya tu, wanaodai wengi ni wake wa mkuu wa kaya au mtoto wa mwenye boma ambayo haikuwa ahadi ya Serikali.
Hii inaweza kuwa kweli
 
Wamasai bila fimbo kuchapwa hawawezi kuelewa, kwa ujinga wao wamasai wanataka uwalipe wote, yaani Baba, Mama ( wake zake wote) mtoto, ( watoto wote) sasa hapo sio sawa hata kidogo, mkuu wa Kaya akiwa ni Baba atalipwa baba na kama ni Mama atalipwa mama mil 10, na nyumba juu, shamba kubwa, maji yako mengi, umeme wa uhakika, shule, vituo vya afya, hivi hao wamasai wana akili kweli? Upewe kila kitu wao akina nani kwani? Nchii hii ina makabila mengi tu na waliwahi kuhamishwa na kutii serikali..

Wamasai hao wanatiwa ujinga na akina Ole Sendeka, Mbunge wa Ngorongoro Ole Shangai, hao wabunge hawafai kurudi bungeni tena, Serikali imejitahidi sana kwa kila hali na kuweka mazingira mazuri mno huko Msomera, tena malisho ya mifugo ni mingi mno, ila sbb hao wamasai wanatumika na wabunge hao na wabunge hao wanawasiliana na wenzao wa Kenya na wamasai wa Kenya wanaleta mifugo yao Ngorongoro na kuua kabisa Ngorongoro, mifuko zaidi ya 60% pale Ngorongoro ni ya wamasai toka Kenya matajiri hasa, hao ndio wanatumia hela zao kuhonga wabunge wamasai na kuwashawishi wamasai hakuna kuhama Ngorongoro, huo ni ujinga, Serikali ikiachia wamasai Ngorongoro kwa trend iliyokuwa inaenda ingekufa hata miaka 10 hatuna tena.

Wamasai wakiendelea kuleta ubishi na ujinga dawa yao ni fimbo tu ndio wataelewa, na hao wanao wapa ushawishi wa kipuuzi ili kuua Ngorongoro wakome
Umeme wa uhakika? Hapa umetupiga kamba
 
Kiongozi wa wamasai waliohamia Ngorongoro wamelalamikia Serikali kutotimiza ahadi zake huku wananchi hao wakiwa wamevunja maboma yao Ngorongoro na kuhamia Msomera.

Wananchi hao 136 wamesema zoezi hilo limezungukwa na udanganyifu, wamemtaka Rais Samia kufuatilia zoezi hilo kwa kuna watendaji wake wasio waaminifu.

Wananchi hao wamesema wasipotendewa haki zao wanakusudia kurudi Ngorongoro.

Akijibu malalamiko hayo, mkuu wa wilaya ya Handeni, Albert Msando amesema Serikali imetimiza ahadi zake kwa wananchi wote waliohamia Msomera na mpaka sasa wamepokea kaya 1600 ambayo ina watu 6,700 ikiwemo fidia, motisha ya nyumba, motisha ya shilingi milioni 10 na shamba kwaajili ya kilimo.

Amesema kilichotokea kwa wanaodai wengi ni wategemezi kwani anayelipwa fidia ni mkuu wa kaya/boma. Kwa familia ambayo baba ana wake watatu analipwa mkuu wa kaya tu, wanaodai wengi ni wake wa mkuu wa kaya au mtoto wa mwenye boma ambayo haikuwa ahadi ya Serikali.
Tangu lini serikali iliwahi fanya jambo ikalikamilisha kwa asilimia 90% hata. Serikali itajitetea tu hata kama inajua kweli haijatimiza.
 
Sababu za kuzihamisha jamii za Kimaasai kutoka Ngorongoro sehemu ya asili yao, hazikuwa na mashiko yoyote yale, zaidi ya ubinafsi wa baadhi ya watawala wetu kuingia tamaa ya kufanya biashara ya kificho na Waarabu. Ni vigumu mno kubadili asili ya mtu ama kitu.

Hali ya asili ya maji ni kuwa kimiminika, hali ya kuwa katika mvuke ama barafu ni ya muda kutegemea na hali joto inavyogeuka na kuwa katika "extreme cases of freezing or boiling points". Lakini katika "room temperature" lazima maji yabakie katika hali ya kimiminika.
 
Mwambieni Ole Ngurumwa awaambie ndugu zake hadithi ya kupewa chakula cha bure iliishia na mamlaka ya HIFADHI ya Ngorongoro hakuna mahali duniani watu wanapewa chakula bure maisha yao yote.
Wakishindwa Msomera waje kuuza makobazi na key holders Dar es salaam
 
Albert Msando amesema Serikali

wanaodai wengi ni wategemezi kwani anayelipwa fidia ni mkuu wa kaya/boma. Kwa familia ambayo baba ana wake watatu analipwa mkuu wa kaya tu,

wengi ni wake wa mkuu wa kaya au mtoto wa mwenye boma ambayo haikuwa ahadi ya Serikali.


Hiyo ndio Genocide tunayo isema hiyo.

According to the UN charter-Genocide refers to the deliberate and systematic destruction of a people.

Ukitaka kuangamiza Jamii fulani, basi ondoa utamaduni wake.

Hebu fikiria kidogo ikatokea leo hii Wananchi wa Rufiji ambao kwa asilimia kubwa ni Waisilamu wanahamishwa kutoka eneo hilo. Ina maana watu hawa wametengwa kutoka katika mazingira waliyozoea, wanatengwa na Jamii yake na ananyimwa haki au furaha ya kusihi kulingana na mila na tamaduni zake. Specifically, zingatia uoaji wa wake wengi kama sehemu ya utamaduni wa Kiislamu.

Sasa, wana rufiji hawa Waisilamu wamehamishiwa, Musoma, na kwa kawaida watataka wahame na wake zao, jambo la kawaida kwa waisilamu. Hatahivyo wanaambiwa kuwa hawatapokea fungu la pesa/fidia kutokana na sheria au kanuni za fidia. Hali hii inaleta ukosefu mkubwa wa haki kwani desturi na mila zao za kitamaduni zinakinzana na kanuni zilizowekwa-na hicho ndio kilio cha hao Wamaasai.

Yaani kuto kuzingatia muktadha wa kitamaduni na mila wakati wa kufidia mkuu wa kaya ni aina ya Genocide. Yani kupuuza desturi zao za kitamaduni, Serikali ya Rais Samia ina endeleza madhara na kudhoofisha msingi wa Utambulisho wao. Kwa mfano, Wamaasai hawa wanapaswa kulipwa fidia kikamilifu, kwa kutambua mila na mfumo wao wa maisha.

STOP The GENOCIDE of the Maasai People
 
Badala ya kuwasikitikia wahanga hawa inabidi kucheka tu. Sasa watulie tu, hakuna lolote wanaloweza kufanya tena juu ya hali zao.
Kama hawakujuwa ulaghai mwingi unaoendeshwa na viongozi na serikali hii, sasa wanajuwa.
 
Ardhi wamepewa,nyumba wamepewa milioni 10 mkuu wa kaya kapewa wanataka Nini sasa,wasilete mambo ya hovyo wakirudi wapotezeni si lazima kuwa na wamasai wapumbavu wachache
 
Back
Top Bottom