Uzi wa vyakula tu

Naaam
 

Attachments

  • IMG_20240508_222405_283.jpg
    IMG_20240508_222405_283.jpg
    2.5 MB · Views: 6
Mchana leo ulipita dash...🙁🙁

Ila usiku niliangusha sufuria...

20240514_053144.jpg


Minofu ya samaki aina Salmon

20240514_053212.jpg


20240514_060812.jpg


Magimbi

20240514_060945.jpg


Vikachanganywa humo kikaangoni...

20240514_062411.jpg



Late dinner,

Kikaango mwaaa, kikamwagikia kwenye sahani, weeeuweee.....😋😋😋😊

20240514_062422.jpg


Samaki walilainika sana wakawa rojo bin sontojo 😅, ila vingine vyote vilikuwa on point 😋😋😋😋😊.

Alamsiki.

Ashukuriwe Maulana nilishiba pomoni.
 
Kimya kingiii, kina mshindo mwingiii....

Hayawi hayawi hatimaye mafiga yamekaa sawa jikoni na tumbo likapata dawa.

Ashukuriwe Maulana kwa kutukirimia Newma Kubwa kubwa na Ndogo ndogo.

Kwa wale ambao hawajajaaliwa ama hawajapata, wasikate tamaa, waendelee kutia bidii Inshallaha watafanikiwa.

Mja hamtupi kiumbe wake 🙏.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom