GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,611
Kwa habari Kamili tafadhali litafuteni Gazeti la The Monitor la Uganda ili mjisomee Wenyewe ila Mimi baada tu ya Kuisoma hiyo taarifa na Kunishtua sasa nafanya utaratibu Maalum wa kwenda Gym za Kienyeji ili nami Nipashe kwani kwa mbaali kwa Shughuli za Kibaioloji nilizozifanya kwa Wiki Mbili Tatu hivi najiona kabisa huu Utafiti wa The Monitor unanihusu kwani nimekuwa mzito na Kitambi cha Mkwara na Uchwara sasa Kimeanza Kuninyemelea.
Haya Ewe Mwanaume Mwenzangu mwenye Demu au Mke kuanzia leo anza Kupiga mno Tizi ili usije Kupigiwa bure Ok?
Haya Ewe Mwanaume Mwenzangu mwenye Demu au Mke kuanzia leo anza Kupiga mno Tizi ili usije Kupigiwa bure Ok?