Ushauri kuhusu mabinti wawili nilio nao kwenye mahusiano

Kosugi

JF-Expert Member
Sep 2, 2019
7,877
10,032
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
 
Mi sio mtaalamu, ila nashauri ridhika na ulienaye. Hao kila siku wanakujaga wapya.

Huyo wa pili alikua wp wakati ww unatafuta jiko, atulize komwe au aende love connect kutafuta bwana.

Siku ya harusi utaona vyombo vitakavyokuja. Utatamani siku zirudi nyuma.
 
Mi sio mtaalamu, ila nashauri ridhika na ulienaye. Hao kila siku wanakujaga wapya.

Huyo wa pili alikua wp wakati ww unatafuta jiko, atulize komwe au aende love connect kutafuta bwana.

Siku ya harusi utaona vyombo vitakavyokuja. Utatamani siku zirudi nyuma.
Anhaa sawa mkuu nimekuelewa.
Japo kinachoteteresha kujitoa kwake yeye kwako kihali na mali hii imekaaje!?
 
njaa mbaya mtakuja kupotezaga marinda mkuu huna lolote ni hivo vi chenji vyajishangazi vinakuzuzuzua baki njia kuu
Sawa mkuu nimekuelewa🙏🙏.
Ila kwani kuna ubaya kutumia neema inayokujia usoni kwako?
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
unaoa ili usaidiwe kiuchumi na huyo wa pili
utajuta
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
We tulia hafu kwanza unamchecheto tu,,,,,yaani madhaifu ya huyo uliyemposa umeyaona baada ya kuanza kula pesa za huyo mama wa pili....we mwenyewe una madhaifu mengi tu,,,,mkuu tulia na uyo binti wa kwanza miaka 19 kama ni bikra wewe ndio unatakiwa kua msingi wake,,,,achana na watu wenye misingi ya wanaume wengine
 
Wanaume wanaume mnapenda kuchanganyaga bongo zetu ili mradi tu muone afya zetu za akili zikitetereka,,lengo lako ni lipi la kuingia kwa ndoa ni kuwa na mwanamke unaempenda au kuwa na mwanamke atakae kusaidia kiuchumi? Oa aliebeba lengo la wewe kuingia kwa ndoa
 
1. willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki. Kasoro zake ni zipi?

2. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

3. Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.

Wewe moyo wako unatakiwa usukume damu, akili ing'amueee. Una hisi zaidi na yupi kati ya hao 3?
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
Komaa na huyo uliyemposa tayari. Ukihairisha utamuharibu kisaikolojia na karma haitokuacha salama.

Mpaka unafikia uamuzi wa kumchumbia na kutaka kumuoa, means kasoro zake zote ulizijua na ukaamua utaishi nazo. Mapenzi yanauma kisenge, usifanye uamuzi utakaoujutia mbekeni. So think twice broh.
 
Back
Top Bottom