Uongozi wa Yanga fuatilieni alichoongea Aziz Kii na Kocha wa Mamelodi

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,406
5,006
Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea, body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz Kii akaonesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.

Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi.
 
Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea , body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.

Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmecheka, umenikumbusha hadi mechi za gazeti la sani bush stars na wenzao wa town, uadui kama wote.
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea , body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.

Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
Aisee mbona unatudhalilisha sisi mashabiki wa yanga?
 
Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea , body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.

Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
aziz ki hata akiondoka hakuna madhara makubwa yanga. ila pacome, na yule dogo wa ghana wakiondoka, ni shida.
 
Nakumbuka baada ya game yao pale kwa Mkapa walipokuwa wanaongea , body language ilikuwa inaonyesha Kacha wa Mamelod kama anamsihi na kumsisitizia jambo fulani halafu Aziz kii akaonyesha kukubali kwa msisitizo wa kitikisa kichwa juu chini.

Pia lile kumbatio la Kocha wa Mamelod na Scudu nalo liliambatana na msisitizo fulani hivi
scudu ni mwanafunzi wake,ama kuhusu aziz kamuomba awe anapiga kwa mguu wa kulia
 
Back
Top Bottom