Msukusu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 218
- 409
Siku ya kwanza kukutana naye alikuja kwetu usiku,
Alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku,
Walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser,
Wamejaa hangover utazani jana yake walikesha,
Akaja mshikaji wangu mmoja, kutoka kwenye lilelile gari akaja moja kwa moja, mpaka kwenye mlango wa gheto
Nature nature kuna mtu anakuhitaji, embu toka umuone,
Kutoka nje namkuta msichana namfahamu kwa jina la tina,
Ambaye alisoma DSJ chuo kile kikuu cha habari na nakatika kipindi hichi chote alikua anaishi hosteli, mshikaji akamuita,
Akasema huyo juma huyu hapa, sasa ongea nae muelewane, muende mkajichane.
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia,
inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana, inaniuma sana hata watoto wadogo wananicheka sana
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia,
inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana,
inaniuma sana demu wangu amepima amekutwa anangoma,
Ni Mwanamuziki Gani Anaweza Kuchana Verse Zaidi Ya 3 Tena Yenye Mipangilio Ya Vina Kama Sir Nature Kwa Sasa. Huu Wimbo Ukiusikiliza Kwa Makini Kuna Code Za Marehemu Fulani
Alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku,
Walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser,
Wamejaa hangover utazani jana yake walikesha,
Akaja mshikaji wangu mmoja, kutoka kwenye lilelile gari akaja moja kwa moja, mpaka kwenye mlango wa gheto
Nature nature kuna mtu anakuhitaji, embu toka umuone,
Kutoka nje namkuta msichana namfahamu kwa jina la tina,
Ambaye alisoma DSJ chuo kile kikuu cha habari na nakatika kipindi hichi chote alikua anaishi hosteli, mshikaji akamuita,
Akasema huyo juma huyu hapa, sasa ongea nae muelewane, muende mkajichane.
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia,
inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana, inaniuma sana hata watoto wadogo wananicheka sana
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia,
inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana,
inaniuma sana demu wangu amepima amekutwa anangoma,
Ni Mwanamuziki Gani Anaweza Kuchana Verse Zaidi Ya 3 Tena Yenye Mipangilio Ya Vina Kama Sir Nature Kwa Sasa. Huu Wimbo Ukiusikiliza Kwa Makini Kuna Code Za Marehemu Fulani