Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,443
- 24,476
Rais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri. Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa. Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe. Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri. Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa. Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe. Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?