Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,443
24,476
Rais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!

Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri. Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.

Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa. Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe. Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.

Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
 
Ni katika kuendeleza diplomasia ya kiuchumi, kisiasa, sayansi, technologia na kijamii na mataifa mbalimbali duniani, regardless ya Taifa hilo liko kwenye status gani kwa wakati huo 🐒

By the way, technically, hiyo ni fursa kubwa sana kwa Tanzanian kibiashara coz biashara na uwekezaji mwingi wa Ufaransa katika nchi ulizozitaja, unaweza kuhamishiwa Tz, tukapata ajira kwa vijana, kukuza uchumi n.k🐒

Puppets wa magharibi waliopo Tz anajulikana vizuri sana na hawez fanya chochote, sembuse mapuppets from France ambao ni nyanya sana 🐒
 
ni katika kuendeleza diplomasia ya kiuchumi, kisiasa, sayansi, technologia na kijamii na mataifa mbalimbali duniani, regardless ya Taifa hilo kwa wakati huo 🐒

by the way,
technically, hiyo ni fursa kubwa sana kwa Tanzanian kibiashara coz biashara na uwekezaji mwingi wa Ufaransa unaweza kuhamishiwa Tz, tukapata ajira na kwa vijana, kukuza uchumi n.k🐒

puppets wa magharibi waliopo Tz anajulikana vizuri sana na hawez fanya chochote, sembuse mapuppets from France ambao ni nyanya sana 🐒
Ni sawa mkuu, lakini ukiona mwezio aliyenyolewa bila makali, kama nchi za Afrika Magharibi, jiweke vizuri na wembe wako mwenyewe!
 
Rais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!

Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri.
Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa.
Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe.
Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.

Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Kaenda kubadili mboga
 
Rais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!

Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri.
Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa.
Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe.
Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.

Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Tunayo Uranium ambayo Macron amenyang’anywa na Putin huko West Africa !
Labda Macron anataka kubadili gia angani !

Ngoja tusubiri tuone labda Neema inakuja ! 🙏
 
Hii ziara ina manufaa mengi sana kwetu kama Taifa, Mama anatumia hiyo nafasi ya Mwenyekiti mwenza kushawishi masuala fulani ambayo yalishakwama wakati wa mwendazake, kama akifanikiwa tutapata fedha nyingi ikiwemo bandari yetu ya Tanga kuamka upya.

Kwa uchache ni hayo, kama akifanikiwa naweza kueleza kiundani.
 
ni katika kuendeleza diplomasia ya kiuchumi, kisiasa, sayansi, technologia na kijamii na mataifa mbalimbali duniani, regardless ya Taifa hilo liko kwenye status gani kwa wakati huo 🐒

by the way,
technically, hiyo ni fursa kubwa sana kwa Tanzanian kibiashara coz biashara na uwekezaji mwingi wa Ufaransa katika nchi ulizozitaja, unaweza kuhamishiwa Tz, tukapata ajira kwa vijana, kukuza uchumi n.k🐒

puppets wa magharibi waliopo Tz anajulikana vizuri sana na hawez fanya chochote, sembuse mapuppets from France ambao ni nyanya sana 🐒
Huuo papets anavaa ma culture culture
 
Hii ziara ina manufaa mengi sana kwetu kama Taifa, Mama anatumia hiyo nafasi ya Mwenyekiti mwenza kushawishi masuala fulani ambayo yalishakwama wakati wa mwendazake, kama akifanikiwa tutapata fedha nyingi ikiwemo bandari yetu ya Tanga kuamka upya.

Kwa uchache ni hayo, kama akifanikiwa naweza kueleza kiundani.
Asipofanikiwa je?
 
tunahitaji uzalendo, tunahitaji watu wazalendo wa maneno na vitendo angalau wa kutetea maslahi ya taifa na kukemea matumizi yasiyofaa ya fedha za serikali kwa maana ya matumizi yasiyozingatia vipaumbele vya taifa.
Wazalendo wakipatikana wanapigwa vita vya wazi na vya chini kwa chini ili wapotee ulingoni !!

Uzalendo wa kwanza ni kudai Katiba mpya bora !!

Itakayozuia madudu yooooteee !!

Sio Katiba mpya tu !
Bali iwe ni Katiba mpya BORA ! 🙏🙏
 
Back
Top Bottom