- Thread starter
- #141
Sawa mkuu nimekupata vizuriunatudhalilisha sana vijana wenye 25 mkuu....
kwenye hii scenario wewe hupaswi kushauriwa chochote....kila kitu kipo wazi.
Sawa mkuu nimekupata vizuriunatudhalilisha sana vijana wenye 25 mkuu....
kwenye hii scenario wewe hupaswi kushauriwa chochote....kila kitu kipo wazi.
Sawa nashukuru kwa kunieleweshaJitathimini sana, unawaangusha wazazi wako sidhani kama Kwa umri huo unatakiwa ufanye jambo la hovyo kama Hilo unalotaka kufanya.
DuhhhHopeless
DuhhhMjinga mkubwa wewe
Upo sahihiHalafu baadhi ya nyie dada zangu mnanishangaza, utakuta nimekutongoza umenikataa sawa, hee huyo mtu unaeenda kumkubalia na kuzaa nae nkimwangalia tu juu juu kuanzia anavovaa, mwonekano wake, his actions, anavyoongea, kazi anayofanya, najiona bora hata mimi ulienikataa 😂😂😂😂
Inatakiwa ukinikataa ukienda kwa mwanaume mwingine, hata nkimuona huyo mwanaume, kimoyomoyo najisemea hapa kweli huyu mdada alikuwa na haki ya kuniacha/kunikataa.
Unaacha bachelor anaekupenda, unaenda kuzaa na mume wa mtu halafu baadae unarudi tena kubembeleza bachelor uliemkataa, what kind of logic is that, doesn't make sense 😂😂😂😂 To yeye venossah Aaliyyah
Balqior ni ya kweli mkuu,,ndo nayopitia mkuuKama hii story ni ya kweli
Namuona mtoa mada ni boya, ila pia hata huyo mdada namshangaa, mbaba wa miaka 36 tena mwenye mke na mtoto na familia tayari, ana kipi bora kumzidi kijana mwenzio single wa miaka 25 anaekupenda na kukuhudumia?
Bora hata huyo mdada angeenda kwa mwanaume mwingine in his late 20's kijana bachelor, mwenye kazi yake ya maana, hapo ningemwelewa huyo mdada, sasa kwa mtu mwenye familia, huyo mdada alitegemea anaenda kuanzisha nini? tena alizaa nae kabisa wakati kijana bachelor hata uchi hapewi.
Kelsea Joline Evelyn Salt Zemanda Extrovert Mzee wa kupambania Equation x
Mzee wa kupambania sawa mkuu nimeelewa ushauri wakoNdio maana mimi nasemaga kila siku single maza ni laana. Sio wa kufanya nao maisha piga sepa
Kweli unakubali kuzalishwa na mume wa mtu hiyo ni akili au matope
Huyu kijana nampa ushauri mmoja tu:
A man must start a family not join one
Aisee 😂😂😂, huyu jamaa bwana wanawake kila kona alafu anasumbuliwa na mtu mmoja ambaye anaweza kuwa replaced muda wowote tena na a better version. Pussay is overated.Nchi ya Tanzania ina wanawake 32,000,000. Kati ya hao wote, wewe umeamua kuchagua mwanamke mmoja ambae kwa maelezo yako ni "jeuri sana,kiburi,dhalau na mdomo wa kutosha" na ni malaya pia. Ina maana hao wanawake wengine 31,999,999 we hujawahi kuwaona au mwenzetu we ni kipofu? Jitathmini.
mtechnical sawa nimekuelewa vizuri nduguKijana unataka kuharibu maisha yako,
Kimbia mbali na huyo mwanamke.
Yeye ameshaharibu maisha yake anataka kuharibu na yako
Asee! Ndio maana nlikazia mwanzo"comment decently"🤌🥱Duhhh
Kwa Nini unasema hivyo ndugu?Uliposhiriki kutoa mimba tuu nimekuona ni Matako kama matako wengine 😤😤😤
Kijinga sana hiki kijamaa yy ni mtu wa afya alafu anaona sawa tu kuua kiumbe Cha Mungu kisicho na hatia.Ukamtoa Mimba sasa unataka tena umtie Mimba?
MamaSamia2025 kwa Nini unasema hivyo ndugu?Kuna watu huwa mnaandika nyuzi ili kutusababishia tu-comment kwa hasira na kuishia kupata BAN. NIMEKASIRISHWA MNO NA UJINGA ULIO NAO.
Je nifanye nini mkuu?Kijinga sana hiki kijamaa yy ni mtu wa afya alafu anaona sawa tu kuua kiumbe Cha Mungu kisicho na hatia.
Ndio, lakini nahitaji kuachana nayeDuh!
Muoe tu mkuu, si umesema unampenda sana?