mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 558
- 1,940
Baada ya kumsikiliza kocha wetu, mbabaishaji Miguel Gamond katika mkutano na waandishi wa habari, Nimejikuta nimekata matumaini ya timu Yangu kushinda mchezo wa kesho dhidi ya kabayelo masandawana.
Kocha anatoa sababu ambazo hazina mashiko, mara alikosa muda wa kuandaa timu, mara Aziz ki na Diarra hawajafika, yaan ilimradi ukajanja kajanja tu.
Ni wazi amekosa mbinu sahihi za kuwakabili hao wasouth Afrika, ukizingatia ubaridi na hofu aliyopata baada ya kushangaa kocha wa mamelod ametaja kikosi chote cha yanga hadi wachezaji wa akiba huku yeye akiwa hana alijualo kuhusu kina allende na toboho makoena, kwa kifupi jamaa ni kama anatafuta på kujifichia.
Nashauri viongozi wa Yanga waandike barua Leo hii CAF, waseme timu nzima imepata ugonjwa wa kuhara ili mechi iahirishwe la sivyo, tutakumbana na dhahama mbaya sana.
Nawasalisha
Kocha anatoa sababu ambazo hazina mashiko, mara alikosa muda wa kuandaa timu, mara Aziz ki na Diarra hawajafika, yaan ilimradi ukajanja kajanja tu.
Ni wazi amekosa mbinu sahihi za kuwakabili hao wasouth Afrika, ukizingatia ubaridi na hofu aliyopata baada ya kushangaa kocha wa mamelod ametaja kikosi chote cha yanga hadi wachezaji wa akiba huku yeye akiwa hana alijualo kuhusu kina allende na toboho makoena, kwa kifupi jamaa ni kama anatafuta på kujifichia.
Nashauri viongozi wa Yanga waandike barua Leo hii CAF, waseme timu nzima imepata ugonjwa wa kuhara ili mechi iahirishwe la sivyo, tutakumbana na dhahama mbaya sana.
Nawasalisha