Whackiest
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 1,016
- 1,122
Ni natumai wanajukwaa mko wazima kabisa ninakipengele hapa ninahitaji mawazo yenu nipone mwenzenu
.Nimebahatika kuwa na mahusiano na mabint watatu kihistoria wakwanza niliachan nae alinisaliti taarifa zikatwanyika hata mahali napofanya shughul huyu aliitwa joyce ni mtu wa maarifa ya utafutaji mtu wa mara mjita
.Wapili ni bado yu masomoni chuo kikuu anatarajia kuhitimisha masomo mwaka ujao jina Marry mazingira anatoka ni huko mara kabila mkulya kwa namna moja ama nyingine
..Mpole
..black beuty
..Mwema sana
..Mazingira anayoishi ni mahala pangu anapenda marafiki zake wafike sana hata nisipokuwapo
..Zawadi hupokea kutoka kwa watu mbali mbali hata sijakuwapo
..Anaupendo na ananipenda sana
..Kuna siku aliwahi leta dharau ilikua swala na kifedha
..Hata huyu amewahi nisaliti kwa kutembea na mpenz wake wa awali
..Dini anaijua haswaa
..Hapendi nikiwapo rfk zake wajue tunaishi pamoja
wa mwisho
Aminar huyu
..nimesoma nae toka chekechea mpka kidato cha nne
..yuko nyumbn huko kabila mtu wa mbeya kama sijakosea mndali
..Age tunalingana
..Ni mpharmacias
..Kwenye biashara anaamini ktk kuweka ushirikina kama daw za kujilinda
..hana kiburi japo ukimkwaza husema kitu kwa kumuhoji sana
..Ninapomkosea anatabia ya,kulia sana
..Yuko tayr haata sasa kuanza nae maish
Wote hawa wawili wamwanzo nimewajua kimwili zaid ya mara 1 lakin huyu wa mwisho ni mara,moja
dini wote wakristo wa juu kabsa msabt wawil wamwisho ni wapentekoste
wamwisho sijakaa nae kwa nyakati zote yuko mbali na mm niko mbali wala sijawahi sikia kusalitiwa au kuambiwa naye huyu wapili aliniambia alichokifanya wakwnza alificha nikajua mwenyew
kiufupi iko hivy ningependa nanijue kwa majina maan majina yana matokeo katk tabia
joyce...
mary...
amina..
.Nimebahatika kuwa na mahusiano na mabint watatu kihistoria wakwanza niliachan nae alinisaliti taarifa zikatwanyika hata mahali napofanya shughul huyu aliitwa joyce ni mtu wa maarifa ya utafutaji mtu wa mara mjita
.Wapili ni bado yu masomoni chuo kikuu anatarajia kuhitimisha masomo mwaka ujao jina Marry mazingira anatoka ni huko mara kabila mkulya kwa namna moja ama nyingine
..Mpole
..black beuty
..Mwema sana
..Mazingira anayoishi ni mahala pangu anapenda marafiki zake wafike sana hata nisipokuwapo
..Zawadi hupokea kutoka kwa watu mbali mbali hata sijakuwapo
..Anaupendo na ananipenda sana
..Kuna siku aliwahi leta dharau ilikua swala na kifedha
..Hata huyu amewahi nisaliti kwa kutembea na mpenz wake wa awali
..Dini anaijua haswaa
..Hapendi nikiwapo rfk zake wajue tunaishi pamoja
wa mwisho
Aminar huyu
..nimesoma nae toka chekechea mpka kidato cha nne
..yuko nyumbn huko kabila mtu wa mbeya kama sijakosea mndali
..Age tunalingana
..Ni mpharmacias
..Kwenye biashara anaamini ktk kuweka ushirikina kama daw za kujilinda
..hana kiburi japo ukimkwaza husema kitu kwa kumuhoji sana
..Ninapomkosea anatabia ya,kulia sana
..Yuko tayr haata sasa kuanza nae maish
Wote hawa wawili wamwanzo nimewajua kimwili zaid ya mara 1 lakin huyu wa mwisho ni mara,moja
dini wote wakristo wa juu kabsa msabt wawil wamwisho ni wapentekoste
wamwisho sijakaa nae kwa nyakati zote yuko mbali na mm niko mbali wala sijawahi sikia kusalitiwa au kuambiwa naye huyu wapili aliniambia alichokifanya wakwnza alificha nikajua mwenyew
kiufupi iko hivy ningependa nanijue kwa majina maan majina yana matokeo katk tabia
joyce...
mary...
amina..