Mwanamke kama hauolewi ebu angalia kwanza mdomo wako

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,649
47,343
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .


Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.

Acha kulalamika.

Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza

Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
 
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .


Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.

Acha kulalamika.

Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza

Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
 

Attachments

  • 5712471-53c2729bd6e2ddffcd44b41bfdaca625.mp4
    2.2 MB
Uzuri wa domo ili uweze kuufanyia marekebisho lazima uanzie katika ubongo sasa you can't pretend

Kilichojaa kichwani ndo utaongea tu
That is way wakiacha umbea, kufatilia trending wataanza kuzinoa bongo zao I'll wafikie hatua inayokubalika to be marriageable (kuoleka)

min -me
 
Kushoto ni ambae hapendi umbea na yupo smarter , kulia ni mmbea na anaefuatilia ubuyu, kwa kweli nisiwe mnafki huyo wa ubuyu ndio changuo langu na katoka ubavuni mwangu kabisa 👐
1715688300515.jpg
 
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .


Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.

Acha kulalamika.

Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza

Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
Mkuu sasa ndoa siku hizi ni sifa na kitu cha kujivunia?

View: https://youtu.be/hkjZAFqPil8?si=xcu3FHLPEK3UspZ-
 
Uzuri wa domo ili uweze kuufanyia marekebisho lazima uanzie katika ubongo sasa you can't pretend

Kilichojaa kichwani ndo utaongea tu
That is way wakiacha umbea, kufatilia trending wataanza kuzinoa bongo zao I'll wafikie hatua inayokubalika to be marriageable (kuoleka)

min -me
Mkuu GT. Ndoa nyingi baada ya miaka miwili ni maigizo tu. Ukitaka kujua tabia ya mtu ishi naye. Mimi Mungu namshukuru yani kuna siku frying pan ilitupwa kwa kishindo ikanikosa kichwa na kugonga ukuta hadi kuacha nyufa. Ingenipata singepona na ningepona ningekuwa na a broken skull.

Pia murder suicide Mungu kaniepusha sana. Sasa hivi am very happy single. napiga bangi zangu na sigara kwa amani balcony yani always in a good mood.
 
kwamba mdomo unatoa harufu mbaya na kali au unato maneno ya hovyo yasiyo faa?

uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia....
vijana wajanja wa kusasa wanazingatia sana hilo.......
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .


Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.

Acha kulalamika.

Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza

Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom