Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,818
- 221,075
Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
Apumzike kwa Amani