A
Anonymous
Guest
Miaka zaidi ya 20 baadaye hali tuliyoizoea kuvuka kwenye maji kila mvua inaponyesha ndio ileile.
Mbunge wetu kila mara tumekuwa tukimwambia kuhusu hali hii lakini hatekeleze ahadi zake za maboresho, yeye amekuwa bize na masuala ya wakulima na wafugaji.
Tunakubali kuwa miundombinu ni mibovu lakini hizi mvua zinazonyesha zinathibitisha tu kuwa Wananchi wa Mkuranga maeneo ya njia za Lugwadu, Mkokozi kwenda Rungwadu, Mwandege Mitaa ya Kariakoo na Vicheji.
Upande wa Barbara zimekuwa zikikwanguliwa lakini haziwekwi mifereji ndio maana maji yanakosa pakupita na yanaingia kwenye Barabara hadi katika makazi ya watu.