Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.

Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?

NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia unaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Alishaacha kazi kwa millard siku nyingi na alikua kwenye biashara ya vipodozi.
 
Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.

Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?

NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia unaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Alikuwa katika majukumu ya kazi ila ni kazi yake binafsi. Mauti yamemkuta akiwa sio muajiriwa bali mjasiliamali
 
Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.

Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?

NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Na sisi tuliojiajiri nani atatukatia bima ya maisha???
 
Ayo ayo ayo. Nakuona nakuona nakuona. Kwanini 2021 mpiga picha wako ajari na 2024 mpiga picha wako ajari? Why why why??????🥸🥸🥸
 
Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.

Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?

NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Nafikiri siyo issue ya kulazimisha waajili kukukatia bima,nadhani sisi sote tuwe na tahadhari binafsi kwamba kifo huwa hakipigi hodi.Yaani hata wewe unaweza kuenda mjini asubuhi badala ya jioni kurudi nyumbani , taarifa zako ndiyo zinarudi nyumbani na mwili wako unapelekwa motuary. Je watagemezi wako wataishije kwa kipindi kile cha kwanza kwanza kabla hawajazoea kuishi bila msaada wako. Je wana pa kuanzia?
 
Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.

Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?

NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Life insurance ni moja kati ya reasons za juu kabisa za mauaji huko majuu....
Ikija bongo hii wanandoa watauana sana
Even watoto wavivu wataua sana wazazi wao
 
Back
Top Bottom