Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,835
- 5,830
Kama haujawahi kukutana na matatizo basi unaweza kushangaa hili, watu wanamatatizo ndugu zangu.
Nina ndugu yangu ni mtoto mdogo tu kama unavyojua tena maisha ya vijijini mabinti huolewa mapema, umri wa miaka 25 tu anatesea na masuala ya uzazi.
Mume anataka mtoto, mimba akishika tumbo halikui kabisa, vipimo vinainyesha ana mimba lakini baada ya muda inapotelea mbali.
Kuna kipindi mimba ilikaa miezi 12 lakini baadae ikapotekea mbali, kutokana na kadhia ya mumewe binti akaanza kutafuta msaada kwa waganga huko kijijini nako akatoka patupu.
Akaamua kuja dar kwa dada yake kutafuta msaada zaidi, dada yake akampeleka kwa nabii kiboko ya wachawi, kufika pale wakaambiwa utaratibu wa kumuona nabii ni tsh. 500k.
Ikabidi warudi home kwa kuwa pesa hawana, bahati nzuri kuna siku nabii alitangaza bei ya ofa, yaani hiyo siku kumuona ni 100k, hii ikaleta unafuu kwa huyu dada kwenda kuonana na nabii.
Baada ya kuonana na nabii akamwambia umetupiwa majini watatu, hao ndio huwa wanakula mimba zako. Kuyatoa hayo majini yote aandae 3 million. Kutokana na kutokuwa na pesa shughuli iliishia hapo.
Nina ndugu yangu ni mtoto mdogo tu kama unavyojua tena maisha ya vijijini mabinti huolewa mapema, umri wa miaka 25 tu anatesea na masuala ya uzazi.
Mume anataka mtoto, mimba akishika tumbo halikui kabisa, vipimo vinainyesha ana mimba lakini baada ya muda inapotelea mbali.
Kuna kipindi mimba ilikaa miezi 12 lakini baadae ikapotekea mbali, kutokana na kadhia ya mumewe binti akaanza kutafuta msaada kwa waganga huko kijijini nako akatoka patupu.
Akaamua kuja dar kwa dada yake kutafuta msaada zaidi, dada yake akampeleka kwa nabii kiboko ya wachawi, kufika pale wakaambiwa utaratibu wa kumuona nabii ni tsh. 500k.
Ikabidi warudi home kwa kuwa pesa hawana, bahati nzuri kuna siku nabii alitangaza bei ya ofa, yaani hiyo siku kumuona ni 100k, hii ikaleta unafuu kwa huyu dada kwenda kuonana na nabii.
Baada ya kuonana na nabii akamwambia umetupiwa majini watatu, hao ndio huwa wanakula mimba zako. Kuyatoa hayo majini yote aandae 3 million. Kutokana na kutokuwa na pesa shughuli iliishia hapo.