KERO Kipande cha barabara cha Boko Bulumawe kimetelekezwa wananchi tunapata shida kupitia

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Aug 29, 2022
68
131
Wananchi wa Mtaa wa Bulumawe kata ya Bunju tunakutana na adha kubwa ya kupita katika barabara baada ya barabara hiyo kuanza kutengenezwa, lakini wameichimba tu na hakuna kinachoendelea hadi sasa zimepita week 3.

Barabara hiyo imekuwa ni changamoto kupitika kwa usafiri wa aina yeyote na hata kwa watembea kwa miguu na hizi mvua zinazoendelea ndiyo shinda zaidi.

Mamlaka husika tunaomba waliangalie hili, mkandarasi alieyepewa tenda hiyo afanye haraka maana anaonesha uzembe wa wazi kabisa.
20240401_111602.jpg
e.jpg
 
Wananchi wa Mtaa wa Bulumawe kata ya Bunju tunakutana na adha kubwa ya kupita katika barabara baada ya barabara hiyo kuanza kutengenezwa, lakini wameichimba tu na hakuna kinachoendelea hadi sasa zimepita week 3.

Barabara hiyo imekuwa ni changamoto kupitika kwa usafiri wa aina yeyote na hata kwa watembea kwa miguu na hizi mvua zinazoendelea ndiyo shinda zaidi.

Mamlaka husika tunaomba waliangalie hili, mkandarasi alieyepewa tenda hiyo afanye haraka maana anaonesha uzembe wa wazi kabisa.
alafu kibaya zaidi na maji yamekatwa sasa 😂
 
Back
Top Bottom