Mkalukungone mwamba
Member
- Aug 29, 2022
- 68
- 131
Wananchi wa Mtaa wa Bulumawe kata ya Bunju tunakutana na adha kubwa ya kupita katika barabara baada ya barabara hiyo kuanza kutengenezwa, lakini wameichimba tu na hakuna kinachoendelea hadi sasa zimepita week 3.
Barabara hiyo imekuwa ni changamoto kupitika kwa usafiri wa aina yeyote na hata kwa watembea kwa miguu na hizi mvua zinazoendelea ndiyo shinda zaidi.
Mamlaka husika tunaomba waliangalie hili, mkandarasi alieyepewa tenda hiyo afanye haraka maana anaonesha uzembe wa wazi kabisa.
Barabara hiyo imekuwa ni changamoto kupitika kwa usafiri wa aina yeyote na hata kwa watembea kwa miguu na hizi mvua zinazoendelea ndiyo shinda zaidi.
Mamlaka husika tunaomba waliangalie hili, mkandarasi alieyepewa tenda hiyo afanye haraka maana anaonesha uzembe wa wazi kabisa.