machinga lazima awe anatembea tembea sana ila machinga wa saivi wamekua wavivu wanakaa sehemuHabari kwenu wanajamii wote. Nataka kujua na kwa faida ya wengine, hivi jina " Machinga lina asili gani? Kwanini Machinga awe na jina lake badala ya kuitwa tu mchuuzi au mjasiliamali?
Mwenye uelewa zaidi na asili ya jina "Machinga" atusaidie🙏🙏🙏🙏
Ilisha jadiliwa sana humu miaka ya nyuma.Habari kwenu wanajamii wote.
Nataka kujua na kwa faida ya wengine, hivi jina " Machinga lina asili gani? Kwanini Machinga awe na jina lake badala ya kuitwa tu mchuuzi au mjasiliamali?
Mwenye uelewa zaidi na asili ya jina "Machinga" atusaidie.
Matching guy ndo asili. Kwa wale wauza wadogo wanaozunguk kutafuta wateja. Lakini pia mtwara Kuna kabila linaitwa machingaLinatokana na neno matching guy. Makonde wakarahisisha "machinga"
Umenikumbusha enzi za mzungu ameenda Newala(huko mtwara),akachimba kisima maana maeneo ya Newala Kuna ukame sana.-Marching guy=Anayetembea amebeba bidhaa akiziuza.
-Check line=mkatizo,mapishano ya barabara na reli/railwaycrossing.
Hence,matamshi ya kiswahili kuunganisha maneno.
-Marching guy=machinga
-Check line=chekeleni.
Need I write more?
Ahsanteni sana kwa mchango wenuIlisha jadiliwa sana humu miaka ya nyuma.
Nini asili ya neno machinga?
MACHINGA ni msemo wa kiswahili unaowakilisha wafanya biashara wadogo wadogo ambao hufanya biashara kwa kuweka bidhaa zao kandokando ya barabara au hata sokoni. neno MACHINGA limechukuliwa kutoka katika kabila la wamachinga ambao asili yao ni Mtwara katika wilaya ya Kilwa na Lindi. wamachinga...www.google.com
Tafuta kitabu cha 'SAFARI YA CHINGA' kimeandika na Prof. Shani OmariHabari kwenu wanajamii wote.
Nataka kujua na kwa faida ya wengine, hivi jina " Machinga lina asili gani? Kwanini Machinga awe na jina lake badala ya kuitwa tu mchuuzi au mjasiliamali?
Mwenye uelewa zaidi na asili ya jina "Machinga" atusaidie.
Oya we kubwa la manusu, a k.a nusu albino, tulia😁😁😂philip Mihava wa jf njoo huku Intelligent businessman
Huu ndiyo ukweli. Hayo mambo eti asili yake ni Marching - guy ni uzushi tu Wa kifesibuku.Neno hilo asili yake ni kabila la Mchinga lipo huko kusini. Vijana wa kimachinga toka huko Lindi? walijipatia umaarufu Jijini Dar es salaam katikati ya miaka ya tisini kwa kufanya biashara ya kuchuuza vitu Kam vile nguo,urembo,viatu,vyombo,n.k kwa kutembea mitaani au kupanga pembezoni mwa barabara ndio maana wachuuzi wanaotembeza vitu na wale wanaopanga maeneo yasiyo rasmi wamepewa jina hilo
Sasa hivi hili neno linatimika Tz mzima kuwakilisha
Umemaliza kila kitu. Mjadala ufungwe.-Marching guy=Anayetembea amebeba bidhaa akiziuza.
-Check line=mkatizo,mapishano ya barabara na reli/railwaycrossing.
Hence,matamshi ya kiswahili kuunganisha maneno.
-Marching guy=machinga
-Check line=chekeleni.
Need I write more?
Toa maana ya machinga we machinga complexOya we kubwa la manusu, a k.a nusu albino, tulia😁😁😂
Tofautisha ‘match’ na ‘March’Linatokana na neno matching guy. Makonde wakarahisisha "machinga"
Nusu albino tuliaToa maana ya machinga we machinga complex