A
Anonymous
Guest
IGP tunakuomba uingilie kati kuhusu huyu Tapeli anajiita Generali Mwamwega ingawa jina lake halisi anaitwa Egron au Osward Rweyemamu. Huyu jamaa anatapeli kupitia kampuni fake ya ujenzi inaitwa one to focus, mpaka uje ushtuke alishakuingiza mjini . Huyu Jenerali Mwamwega anadai yeye ni Jenerali wa jeshi na kwamba anafanya kazi Ikulu Zanzibar.
Utapeli wake unafanyika Kama ifautavyo.
1. Kwanza anatumia kampuni ya ujenzi Kama njia ya kupata watu wa kuwatapeli. Kwa hivyo yeye anatapeli tu wateja wa Hiyo kampuni ambayo haipo popote. Hiyo kampuni uchwara ya ujenzi ambayo hata haijasajiliwa, inaitwa one to focus ipo Dodoma na Dar. kwenye hiyo kampuni huyo Generali Mwamwega ndio mmiliki, halafu fundi mkuu ni huyo Egron Rweyemamu. Anajiita Eng Mac. Wanachofanya wanamsoma mteja anahusika na Nini halafu wanamtengenezea mchezo. Ingawa huyo Jenerali na Eng Mac ni mtu mmoja.
2. Pili. Wanatumia majina ya Viongozi kuibia watu. Huyu Jenerali Mwamwega anatumia jina la Waziri Mkuu na jina la Rais wa Zanzibar kuibia watu. Utajiuliza anatumiaje majina ya Viongozi. Huyo Jenerali Mwamwega anakifaa Cha kutwist sauti ya viongozi. So anaweza kukuambia kesho Waziri Mkuu atakupigia saa Saba mchana umweleze tatizo lako. Na kweli kesho yake saa Saba mchana Waziri Mkuu anakupigia, kwa sauti hii hii ya Mh Majaliwa. Hapo wengi humuamini na kuingia kingi. Na ameliza wengi Sana mpaka huruma.
3. Tatu, Akishakuunganisha na hao Viongozi uchwara anahack simu yako. Kwa hivyo mipango yako yote anakuwa anaijua hivyo anakuwa anakutengenezea plan ya kukutapeli kupitia hacking. So Kama unataka kuagiza gari atajua, Kama unataka kununua kiwanja atajua tu. So yeye atakuwa anakupigia simu Kama kukudadisi ili atengeneze Dili la kukupiga.
4. Nne. Wanakubambikizia kesi. Kwa hivyo wanaweza kukutengenezea kesi ya uongo kama madawa ya kulevya au utakatishaji fedha au mauaji halafu wataitumia hiyo kesi kukufilisi mpaka mwisho na wakishaona huna pesa, wanavunja mkataba wa ujenzi na kukuambia watakubaliana na SUMA JKT wamalize ujenzi hapo wamekuacha mweupe kabisa.
O788216770 MWINYI HASSAN
Hiyo ndio namba wanayotumia kudanganya ni namba ya Rais wa Zanzibar. Hivyo mtu akituma pesa kwa jenerali Mwamwega na kuona hilo jina la Airtel Money limekuja Mwinyi Hassan anaamini ni kweli anafanya kazi Ikulu Zanzibar.
MC EGLON RWEYEMAMU EQUITY BANK ACC No 3010111780864
Hiyo ni namba ya akaunti ya MC Eglon ambayo pia inatumika kulipia pesa za wizi.
Mc Eglon Rweyemamu 0766447244
Hii ni namba ya MC Eglon Rweyemamu. Huyu ndio mtuhumiwa mkuu. Ndio anajifanya Generali Mwamwega.
Hivyo tunakuomba IGP ingilia kati, huyu tapeli amelishika jeshi hawafurukuti kwake. Hagusiki na Wala ukipeleka malalamiko Wala hawashughuliki. So ni kwamba jamaa ana mtandao mkubwa na ni kazi kuumaliza. Wanakudanganya mpaka mwisho.
Utapeli wake unafanyika Kama ifautavyo.
1. Kwanza anatumia kampuni ya ujenzi Kama njia ya kupata watu wa kuwatapeli. Kwa hivyo yeye anatapeli tu wateja wa Hiyo kampuni ambayo haipo popote. Hiyo kampuni uchwara ya ujenzi ambayo hata haijasajiliwa, inaitwa one to focus ipo Dodoma na Dar. kwenye hiyo kampuni huyo Generali Mwamwega ndio mmiliki, halafu fundi mkuu ni huyo Egron Rweyemamu. Anajiita Eng Mac. Wanachofanya wanamsoma mteja anahusika na Nini halafu wanamtengenezea mchezo. Ingawa huyo Jenerali na Eng Mac ni mtu mmoja.
2. Pili. Wanatumia majina ya Viongozi kuibia watu. Huyu Jenerali Mwamwega anatumia jina la Waziri Mkuu na jina la Rais wa Zanzibar kuibia watu. Utajiuliza anatumiaje majina ya Viongozi. Huyo Jenerali Mwamwega anakifaa Cha kutwist sauti ya viongozi. So anaweza kukuambia kesho Waziri Mkuu atakupigia saa Saba mchana umweleze tatizo lako. Na kweli kesho yake saa Saba mchana Waziri Mkuu anakupigia, kwa sauti hii hii ya Mh Majaliwa. Hapo wengi humuamini na kuingia kingi. Na ameliza wengi Sana mpaka huruma.
3. Tatu, Akishakuunganisha na hao Viongozi uchwara anahack simu yako. Kwa hivyo mipango yako yote anakuwa anaijua hivyo anakuwa anakutengenezea plan ya kukutapeli kupitia hacking. So Kama unataka kuagiza gari atajua, Kama unataka kununua kiwanja atajua tu. So yeye atakuwa anakupigia simu Kama kukudadisi ili atengeneze Dili la kukupiga.
4. Nne. Wanakubambikizia kesi. Kwa hivyo wanaweza kukutengenezea kesi ya uongo kama madawa ya kulevya au utakatishaji fedha au mauaji halafu wataitumia hiyo kesi kukufilisi mpaka mwisho na wakishaona huna pesa, wanavunja mkataba wa ujenzi na kukuambia watakubaliana na SUMA JKT wamalize ujenzi hapo wamekuacha mweupe kabisa.
O788216770 MWINYI HASSAN
Hiyo ndio namba wanayotumia kudanganya ni namba ya Rais wa Zanzibar. Hivyo mtu akituma pesa kwa jenerali Mwamwega na kuona hilo jina la Airtel Money limekuja Mwinyi Hassan anaamini ni kweli anafanya kazi Ikulu Zanzibar.
MC EGLON RWEYEMAMU EQUITY BANK ACC No 3010111780864
Hiyo ni namba ya akaunti ya MC Eglon ambayo pia inatumika kulipia pesa za wizi.
Mc Eglon Rweyemamu 0766447244
Hii ni namba ya MC Eglon Rweyemamu. Huyu ndio mtuhumiwa mkuu. Ndio anajifanya Generali Mwamwega.
Hivyo tunakuomba IGP ingilia kati, huyu tapeli amelishika jeshi hawafurukuti kwake. Hagusiki na Wala ukipeleka malalamiko Wala hawashughuliki. So ni kwamba jamaa ana mtandao mkubwa na ni kazi kuumaliza. Wanakudanganya mpaka mwisho.