MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,801
- 48,781
Hii mizinga hususan Jericho 3 inapiga popote na inabeba manyuklia na hamna mwenye uwezo wa kuidungua na ndio maana Israel wana jeuri ya kupiga ubalozi wa Iran na kusema anayeumwa ajaribu hata kujikuna.....
Kingine ifahamike wanajeshi wa Israel hupokea kiapo cha "Samson Option", kwamba kama Israel itafikishwa kwenye kona, basi dunia haitabaki salama maana wataachia mavitu na kufa na yeyote kama alivyofanya Samson.
View: https://twitter.com/Osint613/status/1776192961681780991?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1776192961681780991%7Ctwgr%5E03904b660a9aa7db55babc0f6470a79341441efd%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.jpost.com%2Fisrael-news%2Fdefense-news%2Farticle-795752
Kingine ifahamike wanajeshi wa Israel hupokea kiapo cha "Samson Option", kwamba kama Israel itafikishwa kwenye kona, basi dunia haitabaki salama maana wataachia mavitu na kufa na yeyote kama alivyofanya Samson.
View: https://twitter.com/Osint613/status/1776192961681780991?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1776192961681780991%7Ctwgr%5E03904b660a9aa7db55babc0f6470a79341441efd%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.jpost.com%2Fisrael-news%2Fdefense-news%2Farticle-795752