Daaah!! Wenzetu weupe hakika WANA MISIMAMO THABITI HASA.Kwa wasioelewa Hawa watu washaleta siasa kwenye mpira, Kuna eneo ambalo Morocco na Algeria wamekua wakiligombania muda mrefu, limekua likileta utata kwenye mipaka Yao mpaka Leo hakuna suluhu, sasa berkane(ya Morocco) kwenye jezi Yao wameweka ramani ya Morocco(sijui kwanini sasa au ndo chokochoko) inayoonyesha Ramani nzima ya Morocco ikiwepo na Hilo eneo linalogombaniwa na Algeria,
CAF walishaipitisha hii jezi kama official kit ya berkane, sasa walipokutana na usm Alger ya Algeria, walioenda Algeria mechi ya kwanza ugenini, serikali ya Algeria wakazizuia jersey za berkane zisitumike, waliona kama watakua wanakubali kushindwa, kwanini wawaruhusu berkane waonyeshe ujumbe kwenye jersey zao wakiwa wameweka ramani ya Morocco ikijumuisha na lile eneo ambalo bado wanaligombania.
Berkane wakasema hawawezi kuingia uwanjani hawana jersey maana jersey zao serikali imezichukua, mechi haikuchezwa, CAF wakawapa berkane ushindi wa mezani 3-0, Jana napo usm kagoma kuingiza timu uwanjani
Nami nakubali Caf ndio wenye shida jersey zinaweza kuwa na bendera ila sio ramaniNi jambo zito kuliko watu wengi wanavyo fikiri. Kwa mfano tumekuwa na kutokuelewana na Malawi, sasa chukulia timu ya Malawi inacheza na moja ya timu zetu za Kariakoo halafu waweke ramani kwenye jezi zao inayoonesha ziwa Nyasa lipo kwao. Kamwe serikali haiwezi kubali hiyo jezi itumike na ikiruhusu wananchi wataidharau sana hiyo serikali. Moja ya sababu ya Morocco kujitoa OAU kipindi kile ilikuwa ni huu mgogoro wao na Algeria, ukiwa nje unaweza ona ni issue ndogo lakini kumbe ni kubwa sana. Nafikiri CAF ndio wenye makosa kuruhusu jezi kuwa na ramani ambayo ina mgogoro na haya ni kinyume na taratibu za FIFA
Hata mtoano unapora mtu points? Hawa caf hawana akili toka lini mtoano ukawa na points?Mbona tayari USM Algers alishapokonywa point 3 na magoli matatu na hao hao caf baada ya mechi ya kwanza kule Algeria?
Sheria za mpila zipo wazi sana kiasi ambacho nyeupe huwezi kuiita nyeusi
Mbona nimesikoa Berkane ndio wamegoma kuingiza timu uwanjani kisa jezi zao zimebadilishwa? Wamewekewa jezi ambazo hazina bendera ya morocoUSMA hawajaleta timu uwanjani
USM hana sababu, ameshapigwa tayariKwa wasioelewa Hawa watu washaleta siasa kwenye mpira, Kuna eneo ambalo Morocco na Algeria wamekua wakiligombania muda mrefu, limekua likileta utata kwenye mipaka Yao mpaka Leo hakuna suluhu, sasa berkane(ya Morocco) kwenye jezi Yao wameweka ramani ya Morocco(sijui kwanini sasa au ndo chokochoko) inayoonyesha Ramani nzima ya Morocco ikiwepo na Hilo eneo linalogombaniwa na Algeria,
CAF walishaipitisha hii jezi kama official kit ya berkane, sasa walipokutana na usm Alger ya Algeria, walioenda Algeria mechi ya kwanza ugenini, serikali ya Algeria wakazizuia jersey za berkane zisitumike, waliona kama watakua wanakubali kushindwa, kwanini wawaruhusu berkane waonyeshe ujumbe kwenye jersey zao wakiwa wameweka ramani ya Morocco ikijumuisha na lile eneo ambalo bado wanaligombania.
Berkane wakasema hawawezi kuingia uwanjani hawana jersey maana jersey zao serikali imezichukua, mechi haikuchezwa, CAF wakawapa berkane ushindi wa mezani 3-0, Jana napo usm kagoma kuingiza timu uwanjani
Maelezo yamenyooka sana, sasa hao USM nao wametoa sababu gani ya kutoingiza timu uwanjani! Hawajaenda kabisa Morocco au vipi!?Kwa wasioelewa Hawa watu washaleta siasa kwenye mpira, Kuna eneo ambalo Morocco na Algeria wamekua wakiligombania muda mrefu, limekua likileta utata kwenye mipaka Yao mpaka Leo hakuna suluhu, sasa berkane(ya Morocco) kwenye jezi Yao wameweka ramani ya Morocco(sijui kwanini sasa au ndo chokochoko) inayoonyesha Ramani nzima ya Morocco ikiwepo na Hilo eneo linalogombaniwa na Algeria,
CAF walishaipitisha hii jezi kama official kit ya berkane, sasa walipokutana na usm Alger ya Algeria, walioenda Algeria mechi ya kwanza ugenini, serikali ya Algeria wakazizuia jersey za berkane zisitumike, waliona kama watakua wanakubali kushindwa, kwanini wawaruhusu berkane waonyeshe ujumbe kwenye jersey zao wakiwa wameweka ramani ya Morocco ikijumuisha na lile eneo ambalo bado wanaligombania.
Berkane wakasema hawawezi kuingia uwanjani hawana jersey maana jersey zao serikali imezichukua, mechi haikuchezwa, CAF wakawapa berkane ushindi wa mezani 3-0, Jana napo usm kagoma kuingiza timu uwanjani
Mkuu wao hawaafiki kitendo Cha berkane kupewa ushindi wa 3-0 mezani, hata we ungeingiza timu kutafuta goli nne za jasho? Wakati mwenzako kapewa ya bureMaelezo yamenyooka sana, sasa hao USM nao wametoa sababu gani ya kutoingiza timu uwanjani! Hawajaenda kabisa Morocco au vipi!?
Kweli ni ngumu kwenda kutafuta magoli manne. Kwa hiyo hawajaenda kabisa Morocco au sioMkuu wao hawaafiki kitendo Cha berkane kupewa ushindi wa 3-0 mezani, hata we ungeingiza timu kutafuta goli nne za jasho? Wakati mwenzako kapewa ya bure
Msimamo wa usm Alger ni kua mambo ya serikali hayamuhusu
Namaanisha ile mechi ya kwanza kule Algeria CAF waliwalima magoli matatu na kuwapa Berkane, swali langu kosa la USMA lilikuwa nini?Hawajapeleka team uwanjani pale Morroco
Mi nadhani hapa ndio siasa za Caf ziliingiaNamaanisha ile mechi ya kwanza kule Algeria CAF waliwalima magoli matatu na kuwapa Berkane, swali langu kosa la USMA lilikuwa nini?