Elimu ya bure juu ya uhakiki wa ardhi wakati wa ununuzi wa ardhi

Berryblack

Member
Oct 3, 2022
33
31
Nimeona watu wengi wamekua wakikumbana na changamoto za kununua ardhi na hii ni kutokana na elimu ndogo juu ya mchakato upi sahihi wa kutambua mmiliki haswa wa kiwanja husika.

Kuna hii kitu inaitwa Official search: hii ni search ambayo hufanyika wizarani ama ofisi za manispaa hii huduma Mtu hupewa control number unalipia nahisi ni 40000 tu. Hapa naongelea kwa viwanja vyenye vilivyopimwa kabsa kwa sababu mostly viwanja hivyo uwa tayari kwenye mfumo na kutambulika hata kwa wale wenye hati na leseni za makazi pia unaweza do official search.

Faida za official search:

1. Hukupa taarifa zote kuhusiana na kiwanja husika matumizi ya iko kiwanja, umiliki na taarifa zingine muhimu mfano; kuna kampuni ilipima viwanja na kuwauzia watu Kumbe watu wameuziwa viwanja ranch ya taifa kesi inaendelea mahakamani.

2. Hukupa fursa ya kujidhirishia juu ya kiwanja unachokitaka.

NB: Hivyo wana jamii forum ukitaka kununua ardhi hata kama Una hela cash fanya ufatiliaji makinika kujihakikishia uhalali kiwanja husika kabla ya kuingia kwenye mikataba ambayo baadye aidha ilete hasara na kupoteza Muda mahakamani Ardhi ni Mali ya thamani ambayo hulindwa na hati pekee.
 
Nimeona watu wengi wamekua wakikumbana na changamoto za kununua ardhi na hii ni kutokana na elimu ndogo juu ya mchakato upi sahihi wa kutambua mmiliki haswa wa kiwanja husika.

Kuna hii kitu inaitwa Official search: hii ni search ambayo hufanyika wizarani ama ofisi za manispaa hii huduma Mtu hupewa control number unalipia nahisi ni 40000 tu. Hapa naongelea kwa viwanja vyenye vilivyopimwa kabsa kwa sababu mostly viwanja hivyo uwa tayari kwenye mfumo na kutambulika hata kwa wale wenye hati na leseni za makazi pia unaweza do official search.

Faida za official search:

1. Hukupa taarifa zote kuhusiana na kiwanja husika matumizi ya iko kiwanja, umiliki na taarifa zingine muhimu mfano; kuna kampuni ilipima viwanja na kuwauzia watu Kumbe watu wameuziwa viwanja ranch ya taifa kesi inaendelea mahakamani.

2. Hukupa fursa ya kujidhirishia juu ya kiwanja unachokitaka.

NB: Hivyo wana jamii forum ukitaka kununua ardhi hata kama Una hela cash fanya ufatiliaji makinika kujihakikishia uhalali kiwanja husika kabla ya kuingia kwenye mikataba ambayo baadye aidha ilete hasara na kupoteza Muda mahakamani Ardhi ni Mali ya thamani ambayo hulindwa na hati pekee.
 
Je kwa viwanja ambavyo avijapimwa? inakuaje
Asante.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kuna hii kitu inaitwa Official search: hii ni search ambayo hufanyika wizarani ama ofisi za manispaa hii huduma Mtu hupewa control number unalipia nahisi ni 40000 tu.
Ok, ukifika wizarani au manispaa unaulizia vipi? Ama unapaswa kwenda department gani?
 
Nimeona watu wengi wamekua wakikumbana na changamoto za kununua ardhi na hii ni kutokana na elimu ndogo juu ya mchakato upi sahihi wa kutambua mmiliki haswa wa kiwanja husika.

Kuna hii kitu inaitwa Official search: hii ni search ambayo hufanyika wizarani ama ofisi za manispaa hii huduma Mtu hupewa control number unalipia nahisi ni 40000 tu. Hapa naongelea kwa viwanja vyenye vilivyopimwa kabsa kwa sababu mostly viwanja hivyo uwa tayari kwenye mfumo na kutambulika hata kwa wale wenye hati na leseni za makazi pia unaweza do official search.

Faida za official search:

1. Hukupa taarifa zote kuhusiana na kiwanja husika matumizi ya iko kiwanja, umiliki na taarifa zingine muhimu mfano; kuna kampuni ilipima viwanja na kuwauzia watu Kumbe watu wameuziwa viwanja ranch ya taifa kesi inaendelea mahakamani.

2. Hukupa fursa ya kujidhirishia juu ya kiwanja unachokitaka.

NB: Hivyo wana jamii forum ukitaka kununua ardhi hata kama Una hela cash fanya ufatiliaji makinika kujihakikishia uhalali kiwanja husika kabla ya kuingia kwenye mikataba ambayo baadye aidha ilete hasara na kupoteza Muda mahakamani Ardhi ni Mali ya thamani ambayo hulindwa na hati pekee.
Umezungumzia upande mmoja viwanjwa vilivyopimwa iyo rahisi je kwa ambavyo havijapimwa yan mauzo serikali za mtaa
 
Umezungumzia upande mmoja viwanjwa vilivyopimwa iyo rahisi je kwa ambavyo havijapimwa yan mauzo serikali za mtaa
Huo upande mgumu sana ila always mnunuzi wa kwanza ndo atanufaika endapo kutakua na uhitaji wa kwenda mahakamani (mkataba wa mauziano)
 
Kuna viwanja vunakuwa vimepimwa na Halmashauri halafu vinatangazwa kwa wananchi ili wavinunue. Changamoto ni kwamba mwananchi analipia lkn siku ya kukabidhiwa unakuta ni eneo ambalo linajaa maji.

Swali. Je, hakuna fursa ya kujiridhisha kabla ya kulipia ?
 
Kuna viwanja vunakuwa vimepimwa na Halmashauri halafu vinatangazwa kwa wananchi ili wavinunue. Changamoto ni kwamba mwananchi analipia lkn siku ya kukabidhiwa unakuta ni eneo ambalo linajaa maji.

Swali. Je, hakuna fursa ya kujiridhisha kabla ya kulipia ?
Fursa ipo utauziwaje kitu hujakiona mi naona shida inakuja watu wanakua waoga kuomba ruhusa ya kuona hali halisi ya kiwanja kwa sababu ni haki yako ya msingi we mnunuzi
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom