Dabi ya Yanga na Simba ilikuwa safi mno, timu hizi zinazidi kupendwa!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,962
21,489
FB_IMG_17137227760194412.jpg
FB_IMG_17137229149965017.jpg
FB_IMG_17137229504339255.jpg
 
Hawa ni watalii km unavyojua watalii vijana hawana mambo mengi na muda mwingi wapo free

Wanapenda sehem zenye mikusanyiko ya burudani

Wanaweza kuwa hawajui chochote kuhusu simba na yanga
Umemjibu vema kabisa na huwa wale tour guide wanawaongoza kwenye major events zinazotokea ili kuwapa burudani
 
Back
Top Bottom