adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,504
- 4,304
Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la Azizi Ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari