Lamotrigine
Member
- Apr 18, 2024
- 14
- 14
Daaaaah😂😂😂😂😂Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.
Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha