Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.

Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha
Daaaaah😂😂😂😂😂
 
Tulikubaliana kila mtu ashinde mechi zake, lawama kwa spurs zinatoka wapi?

Wakati msimu unaanza tuliomba ushirikiano wenu ili kumpindua Pep, tukawa tunawasaidia kumpunguza nguvu city,villa na liverkuku mkatuona sie vilaza mkajiona mna uwezo wa kupambana peke yenu. Sasa tumewaachia mjambe naye wenyewe mmerudi kuomba msaada kwa spurs.

Hamna shukrani nyie, acha sisi tuchukue FA halafu tuonyeshane makabati ya vikombe na sio mambo ya overload na inverted full back (Havertz akiwa national team) kucheza kama CF aisenoo
 
Mara nyingi, matarajio huleta huzuni.
1706269321731.jpg
 
We jamaa ni fala tabaka la juu kabisa. Mwenye mentality ya ubingwa ni Klopp au sio?
Ambaye since 2015 mpaka sasa, msimu wa 9 ana EPL moja.

Klopp akiwa Liverpool

2015/16 Hola
16/17 Hola
17/18 Hola
18/19 Hola
19/20 Ndo hapa kapata kombe la Corona
20/21 Hola
21/22 Hola
22/23 Hola
23/24 Hola

Huyu Klopp, wakati anakuja Liverpool ilibidi asubiri miaka minne ndo apate kombe lake la kwanza la ligi. Baada ya hapo kaendelea kusugua. Na wengi wa mashabiki wa Liver mliufyata kimya.

Klopp anakuja Liverpool akiwa ni kocha mzoefu kabisa, kashacheza mpaka fainali ya UCL.

Miaka 9, EPL moja

Upo sawa Klopp ana EPL moja tu lakini ukija mafanikio kiujumla Makombe yote kabeba 😭😭
Hivyo Klopp sio failure wa mafanikio kwa sababu tu ana EPL 1 😭😭
 
Arsenal FC

20 years without a title (21 🔜)
32 years without Carabao Cup
0 UCLs
0 Europas
0 Super cups
0 Club World Cup
In 138 years
Never defended a prem title

The fanbase has the audacity of Real Madrid but in reality they’re closer to Blackburn.
 
Unadhani kila msimu utachallenge hivi hivi enh? Ngoja uone.
Ni ngumu ila tunatakiwa kujitahidi.
Pep ni mtu mwingine kabisa na Man City yake. Wao kila mwaka wapo pale juu, huku sisi wengine tunasindikaza kwa kupokezana. Ona sasa Villa kaingia top 4. Last season, Man United na Newcastle walikuwepo ila sasa hawana uhakika hata wa Europa. Ligi tamu sana hii.
 
Back
Top Bottom