Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,663
- 6,896
Hivi karibuni nimehamia Mkoa fulani katika harakati za utafutaji, kama unavyojua maisha popote pale maadam unapambania mkate wa kila siku.
Siku kadhaa zilizo pita nikiwa naelekea katika harakati zangu njiani nikakutana na gari imepaki,nje kulikuwa na mwamba mmoja anafuta bastola yake kwa kitambaa na huku mwengine anafungua mlango wa nyuma wa gari
Na ile bastola ina kiwambo cha kuzuia sauti isitoke, wapenda movie kama mimi nadhani mmeshawa kuziona hizi bastola,,, kwa mtazamo wangu ama jamaa alishampiga mtu risasi ndo wamtupe porini au ndo alikuwa katika maandalizi ya kumpiga risasi,,, tulikuwa kwenye Boda Boda tukapita kama kishada kwakuwa hatukutaka ushahidi au kuwa miongoni mwa wahanga,, maana ishu kama hizo hamkawii na nyinyi kupotezwa ili kuondoa ushahidi
Ninachotaka kusema hapa watu huwa hawapotezwi bila sababu lazima kuwe na jambo ambalo litapelekea waweze kupotezwa na wahusika
Na mambo haya mara nyingi huwa ni kudhulumiana katika biashara au mambo ya kutembea na wake za watu au uanaharakati fulani hivi ambao unagusa maslahi ya watu na mambo kama hayo.
Haya mambo yanafanyika duniani kote, na kuna watu ambao ni wakali wa hayo
mambo yani simu moja tu wanafanya kazi chap.
Kubwa ni kujitahidi kadri ya uwezo wako kuepukana na mambo hayo ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza kukufanya ukawa deleted chap
Kumbuka kunguru muoga huficha mbawa zake, jiepushe na vihatarishi vyote ambavyo vinaweza kuwa sababu ya kupotezwa.
Ni hayo tu!
Siku kadhaa zilizo pita nikiwa naelekea katika harakati zangu njiani nikakutana na gari imepaki,nje kulikuwa na mwamba mmoja anafuta bastola yake kwa kitambaa na huku mwengine anafungua mlango wa nyuma wa gari
Na ile bastola ina kiwambo cha kuzuia sauti isitoke, wapenda movie kama mimi nadhani mmeshawa kuziona hizi bastola,,, kwa mtazamo wangu ama jamaa alishampiga mtu risasi ndo wamtupe porini au ndo alikuwa katika maandalizi ya kumpiga risasi,,, tulikuwa kwenye Boda Boda tukapita kama kishada kwakuwa hatukutaka ushahidi au kuwa miongoni mwa wahanga,, maana ishu kama hizo hamkawii na nyinyi kupotezwa ili kuondoa ushahidi
Ninachotaka kusema hapa watu huwa hawapotezwi bila sababu lazima kuwe na jambo ambalo litapelekea waweze kupotezwa na wahusika
Na mambo haya mara nyingi huwa ni kudhulumiana katika biashara au mambo ya kutembea na wake za watu au uanaharakati fulani hivi ambao unagusa maslahi ya watu na mambo kama hayo.
Haya mambo yanafanyika duniani kote, na kuna watu ambao ni wakali wa hayo
mambo yani simu moja tu wanafanya kazi chap.
Kubwa ni kujitahidi kadri ya uwezo wako kuepukana na mambo hayo ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza kukufanya ukawa deleted chap
Kumbuka kunguru muoga huficha mbawa zake, jiepushe na vihatarishi vyote ambavyo vinaweza kuwa sababu ya kupotezwa.
Ni hayo tu!