Katika matangazo yanayotolewa Kuna Kodi zinatajwa Kwa wadaiwa sugu.
Ile inayokatwa kwenye umeme na inayodaiwa ikalipwe wizara ya ardhi zinatofaiti ipi.
Wananchi sijamuona hata mmj anayekwenda kulipa hizi Kodi.
Msaada wa utambuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.