Najaribu kutafakari endapo Al hilal wangemtaka Messi na kumshawishi avunje mkataba na PSG ili wamchukue bila mazungumzo na ingekuwaje?
Duniani kote hakuna utaratibu wa mchezaji kujiamulia kuvunja mkataba na kuondoka, Au club kujiamulia kumvunjia mkataba mchezaji bila mazungumzo/makubaliano...
Mwanzoni mwa mwaka 2017 katika shule ya soka ya Ajax kulikuwa na kipaji maridhawa ambacho mtendaji mkuu wa Ajax ndugu Edwin Van Der Sar alikuwa ana uhakika baada ya miaka miwili mitatu watapata pesa ndefu kutokana na mauzo ya kinda huyo hatari ambaye si mwingine bali ni Abdelhak Nouri.
Abdelhak...
Nyota wa zamani wa Real Madrid, Arsenal na timu ya Taifa Ujerumani, Mesut Özil ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 34.
“Nataka kuwashukuru Schalke, Werder, Real Madrid, Arsenal, Fenerbahçe na Basaksehir, marafiki zangu wote katika soka. Ilikuwa ni safari ya ajabu”.-Ozil...
Official, Golikipa wa Tottenham na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ufaransa Hugo Lloris amestaafu kucheza soka la kimataifa.
Hugo ameichezea Ufaransa Michezo 145 akifanikiwa kufika fainali mbili mfululizo za kombe la Dunia na kushinda 1.
Hivyo baada ya kustaafu Kylian Mbappe ndiye atakuwa Nahodha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.