Listen comrades, ukiwa nice guy kwenye soko la mahusiano kuna uwezekano mkubwa zaidi ukapata bidhaa ambayo tayari ishachakachuliwa na ipo nyang'anyang'a baada ya kutumika na wengi kwa muda mrefu.
Ukweli ni kwamba mwanamke anazo data za wanaume au anaweza kuzipata izo data za wanaume...
Wazazi timizeni wajibu wenu. Mzigo wa kuwatunza mabinti zenu wamebebeshwa vijana ambao bado wanajitafuta
Mahusiano ya kimapenzi yamekua liability kwa kijana wa kiume. Vijana wa kiume wanashindwa kufanya maendeleo, ambao hawana vipato vya muendelezo wanaamua kununua makahaba ili kukwepa costs za...
Tuiangalie dhana ya 50/50 katika nyanja ya uchumi kwenye mahusiano. Hapo zamani mwanamke akupewa access yoyote kiuchumi kuanzia ajira, elimu, kumiliki mali, uongozi n.k katika hali kama iyo ni sharti ahudumiwe na mwanaume. Mwanamke hana ajira, hana makazi, hana mali sasa ataishi vipi lazima...
Maamuzi ya refa kukataa goli la Azizi ki yamezua gumzo sio Tanzania tu bali kwa mashabiki wote wa soka barani Afrika, yote kwa yote ili ni suala ambalo ubishi ulitakiwa kumalizwa na goal line technology ambayo haipo hapa Afrika
Maamuzi ya refa yanabaki 50/50 uuenda alikua sahihi au hakua...
Mmekua na kasumba wa kutushambulia ambao hatutaki ndoa lakini insasikitisha sana mashambulizi yenu huwa hamlengi kwenye point mahususi. Utetezi wenu huwa unalenga zaidi kwenye dhiaka mfano kataa ndoa ni mashoga, hawana hela, wamelelewa na single parent, wana trauma n.k lakini kwenye point huwa...
Sheria ya ndoa imemtasfiri mwanamke wa kizazi cha nyuma kidogo ambae alikua na maadili mema, mtiifu na ana dhamira ya dhati kuidumisha ndoa yake. Kwa sasa wanawake wamejanjaluka na washaona sheria ya ndoa na mahusiano kiujumla ina mianya ambayo inaweza kuwapa pesa/utajiri kirahisi.
Hata...
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.
Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia...
Mwanamke anaestahili matunzo ya mwanaume ni mke. Mke akiwa mama wa nyumbani hapa mwanaume anawajibika kubeba jukumu lote la ustawi wa kiuchumi kwenye familia, mke akiwa anafanya kazi/biashara siku hizi wanajiita wapambanaji au super women basi super woman huyu nae anawajibika kuleta kitu mezani...
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!
Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man has a reaponsibility to take care of a girlfriend financially; au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane...
There are ways of speaking, sitting, looking, acting, reacting, that are inherited from childhood.
Some are lucky to be born in families that left them with behaviors that create a virtuous circle around them. They’ve got a great behavioral inheritance.
Some are totally unlucky; they inherited...
Lengo la hizi apps ni kuwakutanisha watu kwa madhumuni ya kufahamiana na ikiwezekana kuanzisha mahusiano ya kimapenzi uko mbeleni.
Inasikitisha sana wakina dada wa bongo wamezipokea hizi apps wakifikiri ni platforms za kutangaza biashara yao ya ukahaba.
Siku moja nikiwa club ya warm up maeneo...
Suala la mwanamke kuhudumiwa na mwanaume lilikua na mantiki kwenye jamii ya zamani ambapo mwanamke hakupewa nafasi katika nyanja yoyote ya maendeleo. Kwa sasa mwanamke kapewa access zote za kuwa na ajira kwaiyo anatakiwa kuondolewa kwenye kundi la watu tegemezi.
Pamoja na mwanamke kupewa nafasi...
Kwa sasa mahusiano yote kiujumla system na maintanance cost yake ni sawa na kununua kahaba. Mwanamke akija kukutembelea ugharamie usafiri, ukienda kumtembelea utaambiwa njoo na kitu fulan mfano chipsi kuku, mnaishi sehemu tofauti lakini utahitajika umlipie umeme, gas na wakati mwingine hadi kodi...
Kumekua na sumu mbaya sana inayosambazwa na wanawake wapotoshaji wanaojiita "wapigania haki sawa" katika andiko langu nitawatambua kwa neno "virusi". Hawa virusi wamefanikiwa kuchota akili za wanawake wengi sana kitu kilichopelekea athari mbaya kwenye jamii zetu miaka ya hapa karibuni mfano...
Kumekua na kasumba ya wakina dada wa leo kuwa na vigezo vingi sana pale wanapoangalia mwanaume wa kuingia nae kwenye mahusiano ya kimapenzi. Moja ya kigezo pendwa cha wakina dada ni hitaji la kuwa na mwanaume wa maana, hatujawahi kuambiwa mwanaume wa maana ni mwenye sifa gani ila possibly hapa...
To all men let us rethink this together. Wanawake wamekua wadangaji, ombaomba na kausha damu huku wakijitetea izo hela wanaume wanatoa kwa hiyali yao hata baadhi ya wanaume wanawaunga mkono kwa huo utetezi wao.
Sawa kumpa hela ni hiyali yako lakini ni kitendo cha kuwadumaza akili wanawake...
Kausha damu ni shida kwa kweli hata kama mwanaume una hela kuombwa ombwa kila siku ni kero na mbinu yao sasa hivi wanasema nikopeshe kiasi fulani ukitoa tu iyo hela kamwe hautalipwa. Kuna mmoja aliomba nimkopeshe atanirudishia asubuhi akitoka akitoka kudanga, yaani sasa hivi ukahaba ni mchongo...
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.
Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi...
Inashangaza sana kuona vibaka wanachomwa moto mtaani huku kausha damu wanaachiwa tu wakati demage inayosababishwa na kausha damu kwenye jamii ni kubwa kuliko ya hawa vibaka. Kwa sasa ni ngumu sana kuanzisha mahusiano ya maana kwa sababu wanawake wamekua kausha damu wanachokitafuta kwenye...
Wanawake wengi wajinga wanaamini kushiriki sex ni kumfanyia favour mwanaume, wameenda mbali zaidi wanataka kupewa posho/pesa ya kufanya mapenzi. Wanawake wamekua indirect prostitutes, sasa hivi kuwa na mpenzi ni sawa tu na kununua dadapoa
Wanawake wanaona wajibu wao pekee ni kutoa mbususu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.