Mnapandikizwa uoga tu ili watu wapige pesa, hili sio tatizo kubwa kivile ni saikolojia tu za watu zimealibiwa kutokana na matangazo kila kona. Kuna wanawake kibao wana matatizo ya nguvu za kike lakini hauwezi kusikia matangazo ya dawa za kuongeza nguvu za kike, Unajua ni kwanini? Kwasababu iyo...
Unaambiwa ukweli umekazania pesa pesa ndio maana nikakwambia wewe ni kapuku ambae umechanganyikiwa baada ya kumiliki iyo hela kwa mara ya kwanza, wenye uwezo wa ku-stake kiqsi hicho na hawana mawazo ya kupoteza huwa hawajitangazi. Yaani unafikia mpaka hatua ya kutukana mama za watu kisa 900k
Izo izo unazoziamini ndizo zitakuchoma, game za fainali ni ngumu sana usibet kichwa kichwa. Hata kwa upande mwingine return utakayosubiri kwa izo wiki 3 ni ndogo sana ukilingasha na return utayoitengeneza ukizungusha iyo hela kila wikiend. Yaani uweke 900k kusubiri faida ya 500k baada ya wiki...
Hakuna anaekuchukia shida yako una mawazo ya kimasikini kumiliki 900k unaona ni mafanikio makubwa ya kuchukiwa na wengine. Umeleta mkeka kuomba ushauri cha kushangaza anaekushauri tofauti unamtolea lugha ya kejeli sasa kama ulikua na uhakika na mkeka wako si ungelipia tu bila kutaka ushauri wa...
Weka iyo stake dortmund akushangaze. Real madrid anapigwa iyo game wale wajerumani wanacheza kwa nidhamu sana wakishikilia bomba mpaka penati lolote linaweza kutokea hata iyo fainal ya fa man u akiwa amekamilika usishangae man city akakalishwa
Wewe kapuku tu haujui kubet wala hauna jeuri ya kuweka stake ya 900k unachangamsha genge tu hapa., wanaoweka stake ndefu huwa hajitangazi wana uhakika na chaguzi zao kwaiyo mpaka kufikiria ku-stake parefu ashafanya uchambuzi wa kina hana haja na mawazo ya wengine. Hakuna gamble hapa hata iyo...
Huna lolote wewe ni mjinga tu. Na huo mkeka unachanika, kati ya man u au dortmund kuna mmoja anaalibu shughuli hapo, game ya fainali watu wanapambana kwa jasho na damu sio ya kuichukulia poa
Tatizo sio kufeli form 4, tatizo ni njia ulizotumia kwenda madarasa ya mbele baada ya kufeli form 4.
Wasifu wake unauonesha nape kasoma Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Wakati Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.