Hizo alizoelekezwa mkuu ni sahihi.
Maana Graseofulvin hutibu bacteria za ndani zinazochafua damu na mchafuko wowote wa ndani ya damu.
Fluconazole hutibu kila aina ya fangasi sugu na aina zote za STD/STIs hata pangusa inatibu hata kaswende na kisonono pamoja na fangasi aina zote.
Clotrimazole...
We una uhakika alikua malaya!?
Je kila anayechepuka basi alikua malaya!?
Futi hii kauli ya kitoto na kiduwanzi mkuu,hao viumbe ni wa kubadilika wakati wowote kiasi ukasema humjui kama ulivyokua wamjua zamani.
Msing'ang'anie hizi mbususu zitawaua.
Ona sasa team "KATAA NDOA" wana point tatu!
Wanawake bwana ni vituko!
Unamuacha mtumishi wa umma unaenda kwa bodaboda🤣🤣🤣.
Mwanamke ni kiumbe kisichoeleweka kinataka nini.
Ulaya ama Marekani si sawa na bongo mkuu.
Kesi ya mke na mume si sawa na ya mtoto.
Watoto hukutana kucheza pamoja na kuichangamsha jamii kaka.
Hivyo kuwalinda wao ni muhimu sana,suala la mke na mume ni personal.
Watoto hukutana mashuleni,michezoni na maeneo mengine,je mtoto aloyeharibika...
Ushoga hauna dini.
Ukristo hauruhusu ushoga ila kuna wakristo wa hurka zao ndio mashoga.
Hata waislam mashoga wapo mkuu,je tuseme uislam unaruhusu ushoga!?
Huu uchafu ni hurka ya mtu husika si dini.
Uislam haujaruhusu kutusi imani za wingine mkuu,kama wewe muislam litambue hili.
Majini wana jinsia mkuu ndio maana nao wanazaana.
Majini wapo wakike na wakiume.
Kila kiumbe Mungu kakiumba katika jozi ya kike na kiume.
Isipokua wana uwezo tu wa kujibadili kimaumbile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.