Search results

  1. Battor

    Msaada: Nimekuwa mkimya na mgumu sana kuzoeana na watu

    Ukielewa unachokipenda zaidi, wekeza muda wako kwenye hicho kitu na ujiongeze thamani, hakuna adui mbaya kama anayekupotezea muda na ndicho utakipata ukitafuta anntention kwa watu. Usiogope watu, wakikuuliza kwanini uko hivyo waambie huwezi kuwa wao na hawawezi kuwa wewe. Mwisho kabisa, dawa...
  2. Battor

    Single mother kamwandikia meseji hii Step Father

    Charlie “mission aborted”
  3. Battor

    Kama utani lakini ni ukweli, huu ni mchango wa harusi wa watu wanne

    Mimi elfu 50 tu, natumiwa meseji za kutosha na nimekausha..
  4. Battor

    Baadhi ya waislamu wamjia juu Mwijaku kwa kuudhalilisha Uislamu

    Tuongee yanayotuhusu 👏🏾👏🏾👏🏾
  5. Battor

    Kwanini gari za tesla ukifika makaburini zinaona kuna watu wakati hakuna watu?

    Ultrasonic sensor zinatumia Infrared radiation ku sense warm object. Mwili uliokufa ni baridi. Kama hiyo taarifa ina asilimia 100 ya ukweli basi tujiandae kustaajabu.
  6. Battor

    Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

    Hao wa hivyo ni wa shoo za nje tu utakufa kwa stress mkuu. Huwa tuna oa mwenye utayari na akili iliyopevuka, makalio ukitaka hukosi ni urefu wa kamba yako tu.
  7. Battor

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    As long as unafuata kweli jibu linaweza kuwa ndio ama sio, imani ndio itakupa kweli na sio dini. Na imani inakuja kwa kusikia( kuelewa) neno la Mungu. Kumbuka waliomsurubisha Yesu walikuwa ni watu wa dini, haimaanishi kuwa walikuwa ni waovu hapana ila walijihesabia haki kulingana na sheria ila...
  8. Battor

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Dini ni culture, alisali kwa wayahudi sababu alizaliwa kwenye culture ya kiyahudi. Hivyo hata akija leo atasali popote pale ila mafundisho yake yatabeba kweli na sio culture ya dini, kama alivyofanya kwa wayahudi wakamsurubisha. Hayo ni mawazo yangu na sio facts.
  9. Battor

    UZUSHI Mboga za majani aina ya Chainizi husababisha upungufu wa Nguvu za kiume

    Ka ma mimi nazifakamiaga kinoma na sijaona madhara yoyote, labda wataalam waje na neno hapa tuelimike.
  10. Battor

    Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

    Kipindi tuko secondary miaka ya 2008- kuna vijana wenzetu tuliokua nao tangia utotoni mtaani sasa ghafla tu walibadilika wakawa ni watu wa itikadi kali sana hata ile kujumuika na sisi kwenye michezo wakakata kabisaa afu mazungumzo yao yalijaa sana chuki dhidi ya wasioamini kama wao. Mara ghafla...
  11. Battor

    Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi

    Shukuru sana Mungu umekulia mboga saba msoto haujui.
  12. Battor

    Natafuta kazi dar

    Walivyomshtukia angekuwa mjanja angezuga kuwa ile comment ya kuumwa ni kwamba alikuwa ana mjoke mleta uzi kisha akatulia. Ila siku ikifika badala ya kukanyaga breki unajikuta unakanyaga moto.
  13. Battor

    Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

    Hapo kwenye kipensi hapo, hakika walozi wanafaidi
  14. Battor

    Natafuta kazi dar

    Utata ni pale unajikuta una jinsia mbili kwa wakati mmoja.
  15. Battor

    Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

    Mkuu nikitulia nitakuja na swali, unaoneka uko flexible akili yako ni kubwa.
  16. Battor

    DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

    Hapo ndipo tatizo lilipo, umoja wa africa hakuna unachofanya. Geographic location yake tu ilivyo hakawezi kufurukuta bila msaada wa majirani zake, nafikiri ukiachilia mbali huko anapopata support ila pia kuna shida kubwa ndani ya huo umoja wa africa
  17. Battor

    DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

    Sawa mkuu, ila unafikiri tz inakwama wapi hasa hadi itishiwe na ka nchi kachanga kama hako.
  18. Battor

    DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

    So kumbe mamlaka inatumia power badala ya authority kuendesha mambo yake, watakuja kumsaliti hadi ashangae. Kimsingi kale ka nchi hakana uwezo wowote wa kupambana na tz, ni vile tu watu wanakapamba.
  19. Battor

    DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

    Ok nimekuelewa, je unafikiri uwezo wao wa akili ni mkubwa kulinganisha na uwezo wa wa tz, nipe facts maana siamini kama wana uwezo huo hata kiakili. Wanachoweza kutuzidi ni uzalendo na ndio silaha kubwa wakiitumia kila kitu kinawezekana.
Back
Top Bottom