Search results

  1. W

    Upi utaratibu mzuri wa kufuata ili kulinda haki ya mtoto anayetuhumiwa kushibisha mimba mwanafunzi?

    Namaanisha mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 14 Ni kidato Cha pili! Mwanafunzi huyu anatuhumiwa kumpa mimba Mwanafunzi wa kike kidato Cha kwanza miaka 13 ya umri Mwelekeo ni kwamba wote wanapaswa kufukuzwa shule! Naam wamefukuzwa leo!! Hoja yangu Ni kwamba Ni ushahidi gani uwe wa...
  2. W

    Hatua za kisheria ili kumrudisha mtoto shuleni aliyesimamishwa masomo kwa utashi wa waalimu na si utashi wa Sheria za shule!

    Kuna dogo mmoja Ni ndugu yangu wa mbali! Amepatwa na hekaheka ya kutotakiwa shuleni pamoja na wenzake kadhaa! Msimamo wa mkuu wa shule ni kwamba hawawahitaji wanafunzi hao shuleni kwake, hivyo wazazi wawatafutie shule zingine Hii ni shule ya serikali ambayo miongozo ya kuwasimamisha wanafunzi...
  3. W

    Order ya kuprint t-shirts!

    Ndugu! Shule mpya imeanza na Kuna Nia ya mchakato wa kuagiza t-shirts za shule Shule ipo wilayani Nanyumbu Mtwara Naomba kupewa a, b, c za namna njema ya kupata mtu anayeweza kubeba order ya kusupply tshirts printed, kwa Bei nafuu Karibuni kunipa elimu Sent from my Infinix X657 using...
  4. W

    Mawazo yangu yanavyonionesha Tanzania ya Chadema!

    Tanzania imetawaliwa na CCM, kwa miongo yote Hadi hivi Sasa! Maendeleo yapo ingawa siyo yaliyotarajiwa kufikiwa hadi sasa iwapo CCM kwa miongo hiyo yote ingekwepa Vita ya Uganda, Ukombozi wa Nchi za Afrika, Ufisadi, Uzembe kazini, uuaji wa Viwanda na mengineyo! Kwa Sasa vyama vya upinzani...
  5. W

    Je, Kuna sababu ya lazima kwa mwanaume uliyezaa na mchepuko kuchukua huyo mtoto kumleta kwa Mke?

    Wazee tufundishane hapa! Kwenye maisha yetu Kama waume hii inatokea Mara nyingi tu. Mzee penzi limenoga kwa mchepuko, mara tu mimba hii hapa. Wengine wanakataa ujauzito na mahusiano yanakufa! Wengine wanaamua kuondoa mimba fasta, ili maisha yaendelee! Wengine wanalea ujauzito na mtoto kwa...
  6. W

    Je, ni muujiza gani umeusikia uliotendeka kwa maombi ya Mwamposa, ambao umekufurahisha, umekushangaza au umekutia wasiwasi?

    Mwamposa ni motooo! Taifa linatetemeshwa kwa miujiza mbalimbali ambayo kila leo Mungu anawatendea watu wake kwa njia ya Mtume wake mtakatifu! Majuzi alikuja Mtwara na wengi wameponywa, pepo wametupiwa mbali na viwete wametembea! Kuna ndugu mmoja kasema alihudhuria huko, na ametoa shuhuda kuwa...
  7. W

    Masters of Chemistry with Education against Masters of Education in Quality management!

    Kwa mwalimu mwajiriwa wa serikali, ipi Ni Masters Bora Kati ya tajwa hapo juu? Wadau wa Elimu karibuni kwa mawazo! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. W

    Ubinafsi katika ndoa! Ni Nani hasa baina ya ME na KE?

    Dear friends! Nimejiuliza muda mrefu Sana, na sipati muafaka. Imekuwa hivi kwamba mwanamke hulalamikia matendo ya waume kwenye ndoa, ama mahusiano ya kawaida kimapenzi kuwa ni wenye ubinafsi. Mwanaume hujali hisia zake tu! Mwanaume hujali matamanio yake tu, na kutaka maisha yaende kwa mtazamo...
  9. W

    Auondoe ule utamu, hili janga litakuwa limekwisha. Hivi bwana yule anasubiri nini?

    Vilio Ni vingi! Ooh ni viiingi saana! Hawa wameuana kwa wivu wa mapenzi, huyu amejinyonga, yule anakonda amesalitiwa, mmh makubwa haya! Kwenye nyumba ile, wazazi hawana amani juu ya watoto wao wa kike! Vischana vimepevuka, vifua vimetuna, vitako vimebinuka tayari. Kwanini Sasa wazazi, hawana...
  10. W

    Wewe unayesifia ukusanyaji mkubwa wa TRA awamu ya sita, dhidi ya ukusanyaji awamu ya tano! Soma hapa ujifunze

    Nawapongezaa TRA kwa kazi mzuri za ukusanyaji! Japo naumia Sana kwa hiyo theluthi ya mapato munayoitia mifukoni mwenu! Mungu yupo anawaona! Wigo wenu wa ukusanyaji unapanuka kadri miaka inavyokwenda! Mwaka 2037 mutakusanya nyingi zaidi ya sasa japo Rais huyu hatakuwepo! Hio inamaanisha kuwa...
  11. W

    Naomba kufahamu changamoto na mafanikio ya biashara ya maabara!

    Wajuzi wa hili waseme neno! Kuwa na jengo la kutoa huduma za vipimo vya afya, inalipa? Kama mjuavyo watoto wetu wanagraduate na Hamna ajira! Mzazi wa Sasa ana jukumu la kusomesha mtoto Kisha kutoa ajira!
  12. W

    Wazee mlioanza primary school miaka ya 1990's unakumbuka story gani kwenye kitabu Cha kusoma darasa la kwanza na la pili? Kula chuma hiki hapa!

    Sometimes kumbukizi za zamani zinafurahisha! Nakumbuka hadithi tamu nilizosoma nyakati zile! Moja ya ambazo sizisahau ni story ya Ali! Ali ni mtoto mtundu Alisikia kwamba, ukifuata nyuki utakula asali. Ali alipenda Sana kula asali. Ali alitembea kandokando ya maua. Aliona nyuki wanarukaruka Ali...
  13. W

    Tunatamani kubinafsisha kila kitu, sababu ya wizi wetu! Nia ya kuondoa wizi haipo! Report ya CAG mamlaka zote Kimyaaaa!

    Wapumbavu wanaotetea ubinafsishaji (ashakum si matusi) Wana hoja kadhaa! Ila moja iliyo strong kwao ni wizi wa fedha za umma kwa watendaji wa Taasisi! Huu Ni upumbavu! Kwa nini utoe rasilimali zako kunufaisha jirani kisa mwanao ni mwizi? Wapumbavu Hawa wanasahau Serikali inazo mamlaka...
  14. W

    Katika Ukristo, kitendo cha msamaha ni cha lazima, si hiari!

    Nawasalimu nyote! Niwakumbushe wakristo, hususani wakatoliki kujibidisha katika kusamehe watu, kabla nyakati za hatari hazijafika! Ukumbuke Sala yako ya kila siku, ile Sala ya "Baba Yetu..." iliyoachwa na Yesu Kristo, ile inayofundishwa na kanisa kwa vijana wa kanisa, kwenye mafundisho ya Holy...
  15. W

    Ejaculation is the only sweet feeling of sex for male person!

    Nawasalimu nyote! Leo nimeamua niweke kichwa cha mada kwa kiingereza! Nimshukuru jamaa yangu aliyenitengenezea maneno haya, maana mwenyewe ingenishinda! Nimeambiwa kuwa English inapunguza ukali wa maneno, labda Mods watauhifadhi huu uzi wangu Ajenda yangu Ni ile ile ya kujaribu kutoa Elimu...
  16. W

    Hivi Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kilimsibu Nini Hadi akaachana na fikra za kumuenzi JPM?

    Salamu zenu nyote! Mtakubaliana na Mimi kuwa Rais wetu alipoapishwa kuendeleza kijiti Cha Urais, alipania kuendeleza Yale aliyoyafanya JPM. Kwanza, alitoa kauli iliyoashiria ukuu wa mamlaka kwa kuweka wazi hatopenda kuchezewa na mtu, Kama ambavyo Magufuli hakupenda! "Anayesimama hapa ndio Raisi...
  17. W

    Kufunga ndoa halafu siku ya harusi wanahudhuria ma ex, sio poa kabisa!

    Nawasalimu nyote! Ndoa ni Jambo la furaha kwa baadhi ya watu. Si watu wote maana wazee wa kataa ndoa, nawaona wananicheki kwenye darubini kwa hasira. Siku ya harusi Ni full shangwe kwa maharusi, wazazi pande zote, ndugu jamaa na marafiki, mabibi kwa mabwana! Wakati maharusi wakiwa na furaha...
  18. W

    Naomba kujuwa namna mwalimu anavyoweza kushift kutoka Ualimu Sekondari Hadi Ualimu vyuo vya Kati!

    Nawasalimu nyote! Mada hapo juu yahusika! Kwa kufahamu kuwa wapo waalimu wa vyuo vya Kati humu ndani, ambao awali walikuwa wanafundisha shule za Sekondari, nimeona nilete ombi hili la kuwasihi walete namna mbalimbali ambazo wao ziliwawezesha kuingia huko! Je, walifanyaje kuhamia vyuo vya...
  19. W

    Singeli ni muziki wa Uchafuzi usio na tija katika jamii, sumu ya watoto wetu Uswahilini!

    Nawasalimu nyote! Nianze moja kwa moja kutaja mambo ambayo muziki umechochea katika Jamii, upande Hasi na upande chanya 1. Reggae Imechochea Imani ya Upendo na Amani miongoni mwa vijana Imeplay role kubwa ktk mapambano dhidi ya unyanyasi wa mzungu kwa mwafrika! Imemsaidia kijana mwafrika...
  20. W

    Natamani iandikwe katiba ya Muungano na United States Of America!

    Nawasalimu! Nimekuwa nikiwaza Sana! Sometimes inauma Sana unapowaza Jambo ambalo haliwezi kutokea. Naam, si rahisi kuwa na Muungano na USA. Lakini, je, ni kweli haiwezekani? yes haiwezekani kabisa! Hapa shida si Raia wa kawaida wa Tanzania, bali wanasiasa waliowekeza maisha yao ktk siasa. Yaani...
Back
Top Bottom