Recent content by OG12

  1. O

    Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Alafu wakishavunja mikataba team ichezeje michuano husika na hairuhusiwi kusajili katikati ya msimu, hili jambo usilichukulie kawaida tu
  2. O

    Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Yaani kwa kauli hii, kuna uwezekano team nzima ikavunja mkataba kwa sababu wachezaji wana haki ya kuvunja mkataba muda wowote wanaojisikia, mpira hauko hivyo ndugu.... umesajili kikosi chako cha msimu na huna haki ya kuongeza mpaka dirisha la usajiri afu wachezaji 13 waamue kuvunja mkataba...
  3. O

    Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    Mkuu ninaweza kutenga 600000 kwa mshahara wangu, nisaidie stratergy ya kujenga nyumba ya vyumba 3(kimoja master), sitting, kichen, store na public toilet, NB, kiwanja kipo 30mx30m na mawe ya msingi trip 25 zipo tayari site
  4. O

    Aviator hack trick

    Hii stratergy nimeijaribu ila hili zimwi ni noma, limetembea zaidi ya mara 11 likiwa chini ya 2.00 so naweza kusema hii stratergy unapigwa vizuri tu
  5. O

    Atheism: Imani nusu na robo

    Types of Atheists
  6. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naomba our xg against United, Liverpool, Leeds na Soton
  7. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii break ya world cup aitumie ipasavyo kujiimarisha kimchezo.. Naamini ni mchezaji mzuri sana
  8. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    The lad deserve to start for England at Qatar
  9. O

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Unataka aje Nani? Walioko sokoni Klopp is far ahead of them
  10. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    You commented before Nelson scored, though the way Arsenal anacheza unaijua vizuri sana... Nelson hawezi kuwa Saka, so usitegemee atakupa Saka performance.. Ila ana vitu vyake vyakutupa pale atakapoitajika
  11. O

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Internet ilikata kabisa(lilikuwa suala la system Yao), kuhusu suala la speed wako vizuri sana kwakweli...
  12. O

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Huduma nilifungiwa, ila changamoto ilipojitokeza ya kukosa huduma ndo ubovu wa customer care ilipojitokeza... Kutatua shida ilichukua kama siku 10 tena za kuzunguka sana ofisini kwao... Technician wao unawapigia simu hawapokei, ukifika ofisini ndo wanajifanya kukuchangamkia
Back
Top Bottom