Kwanza shikamo mzee wangu, bila kukuvunjia heshima ukweli ni kwamba kwa sasa ndoa hazina uzito kama ilivyokua wakati wa kizazi chenu. Mwanaume anataka sehemu ya kumaliza nyege zake na mwanamke anaangalia masilahi yake, ndoa na mahusiano ya kimapenzi kiujumla yamekua mtego atakaeingia kwenye...
Likishaitwa tatizo maana yake katika kulitatua umekutana na ugumu ambao upo nje ya uwezo wako kwa wakati huo either kifedha au kimaarifa kwaiyo ni suala la kuchagua kipi unamudu umalize mwenyewe au kipi kimekupiga knock-out ukifikishe kwa Mr.
2000's ndicho kizazi cha kwanza kuleta long-term consequences za ufeminia na utandawazi kwenye jamii, yote tunayoyashuhudia ni matokeo ya kumpa mwanamke unlimited freedom, mababu zetu hawakua wajinga kuiwekea mipaka hii jinsia. Kwa sasa kila binti unaedate nae ana mtoto mdogo either analea...
Hii ndio saikolojia ya muafrika aliyomaanisha jamaa maana kagusa na upande wa mwanaume pia tunajua mapenzi sisi ni providers tu. Ofcourse hata mimi siwezi kuruhusu mpenzi wangu aingie gharama wakati najua uwezo wake ni wa chini au mdogo sana ukilinganisha na uwezo wangu., kwa hii kesi yako hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.